Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,052
- 9,847
Hamna kitu kama hicho...kwanza nimegundua watu valuable katika jamii ni watu wenye ufaulu wa kati..div 2 ad 3....hao div one kwenye utendaji kazi ni mapunga kabisa, ukiangalia hata serikalini wasomi hao ndo mapoyoyo wakubwa tena from UD, kwenye kung'amua mambo ni poor...yaan ni one way thinking..hata shuleni huwez kuta wanapewa hata ukiranja....!!!.wapambane na hali zao
Wewe ni wale vilaza ukisoma between lines.😎😎😎