Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Walioitwa Majipu kulipwa Tsh. Bilioni 2.2

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,512
Reaction score
272,211
Hayo yamesemwa na Mh Halima Mdee ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani wa wizara ya fedha na mipango , wakati akisoma maoni ya kambi hiyo kuhusu mapendekezo ya mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka 2017/18.

" Tumeshuhudia serikali ya CCM ikijitapa kutumbua majipu iliyotengeneza yenyewe kwa mbwembwe , kumbe nyuma ya pazia serikali hiyo hiyo inayalipa majipu hayo mishahara pamoja na marupurupu mengine "

" Septemba bil 2.2 zilitengwa kwa ajili ya kuwalipa viongozi waliotumbuliwa , ikiwemo tsh mil 198.8 kama POSHO YA USUMBUFU . "

Chanzo: Mwananchi .
 
Hapa nikutoa kulia kuleta kushoto. "" Ati wapiga dili wajiandae kukosa pesa Mifukoni""
 
MH BAK katika utukutu wake!

'Heshima' ni kitu cha bure na ni 'tunu' mojawapo ya 'utu' wa binadamu
Heshima iwe pande zote , anayetaka kuheshimiwa ni vema naye akaheshimu wengine .
 
Back
Top Bottom