Waliohusika kifo cha mama mzazi wa Hoyce Temu Hospitali ya KCMC waondolewe

Madaktari wana akili za ajabu sana. Hawajali maadili ya kazi zao wala taaluma yao. Ndiyo maana hata pale Muhimbili waliweka dude la kupiga nyumbu. Very stupid, incompetent, coward & naive.
 
Madaktari wana akili za ajabu sana. Hawajali maadili ya kazi zao wala taaluma yao. Ndiyo maana hata pale Muhimbili waliweka dude la kupiga nyumbu. Very stupid, incompetent, coward & naive.
Tatizo sio kwa daktari bro .Tatizo ni protokali mpaka ufike kumuona daktari.Unaeza kufa kwenye benchi.
 
HUU MSIBA UMEHUZUNISHA WENGI SANA MKOANI MOSHI

NA PENGINE WENGI WANAKUFA HAPO HOSPT BILA KUPEWA MSAADA

WAZIRI WA AFYA WALIOCHANGIA KIFO CHA HUYU MAMA WAONDOLEWE KABISA HAPO HOSPT WATATUMALIZIA WAZAZI WETU

MAPOKEZI MASAA MAWILI BILA HUDUMA??KWELI AISEE


View attachment 1791168

View attachment 1791169

View attachment 1791171
Pole sana kwa Hoyce Temu.
Hili la utendaji wetu ni sehemu ya utamaduni ambao tumejipatiza sijui kunakili kutoka wapi sijui

Maofisi mengi hakuna customer service kabisaaa yaan inakera na kukwaza
 
Mkuu kulaumu hakusaidii ila ni kutotaka kutambua madhaifu yetu pia. Kulaumu hakusaidii wafiwa, wala aliyefanya kosa.

Kutopata huduma unayostahili popote pale huumiza.

Usipotibiwa vyema hospitali, bila kujali matokeo yake kama utapona au utakufa huumiza. Ukiporwa uwanja utaumia. Ukifungwa kwa kusingiziwa utaumia. Ukibambikiwa kesi ya uhujumu uchumi vivyo hivyo utaumia. Bahati mbaya yote hayo yanaweza sababisha kifo.

Binafsi nikiona matukio kama haya, hutumia muda huo kujitafakari jinsi ninavyotoa huduma kwa wateja wangu, maana nami ningependa nikienda sehemu fulani kupata huduma, nihudumiwe vizuri na kwa haki.


Basi kazi ipo !
 
Madaktari wana akili za ajabu sana. Hawajali maadili ya kazi zao wala taaluma yao. Ndiyo maana hata pale Muhimbili waliweka dude la kupiga nyumbu. Very stupid, incompetent, coward & naive.
Kuna mjinga mmoja kasema kila.mtu ajitafakari kwa nafasi yake...sasa mm mvuvi huko iramba najitafakari kwa angle ipi? Mxiew
 
Haya mambo yapo sana, kuanzia kwa wazazi wanaokufa na watoto wao mpaka wanaofia kitandani wakisubiri mda wa dozi.

Hawa wanazungumza yakimkuta mtu wao wa karibu.

Halafu unakuja na hoja eti tusilaumu wahudumu wa afya kwa kulinganisha na watoa huduma wa DART, BOT, Ardhi n.k n.k..
Serious????

Afya ya mtu unaichelewesha....unamuua mtu, mfano hai ndio huo.

Hio ardhi, DART acha kuchelewa, hata ukikosa kabisa utakufa???

Kati ya sehemu ambayo uzembe hauvumiliki ni katika afya ya mtuu...

Huko Tanesco tuu unakosema tangu juzi mtandao inasumbua, kuna aliyekufa kwa kushindwa kununua luku?
 
Siku ikifika, hata angepokewa na nani km saa yake ya kuondoka imewadia angeondoka tu
 
Haya mambo yapo sana, kuanzia kwa wazazi wanaokufa na watoto wao mpaka wanaofia kitandani wakisubiri mda wa dozi.

Hawa wanazungumza yakimkuta mtu wao wa karibu,
Halafu unakuja na hoja eti tusilaumu wahudumu wa afya kwa kulinganisha na watoa huduma wa DART, BOT, Ardhi n.k n.k..
Upo serious????
Afya ya mtu unaichelewesha unamuua mtu mfano hai ndio huo.
Hio ardhi, DART hata ukikosa kabisa utakufa???

Kati ya sehemu ambayo uzembe hauvumiliki ni katika afya ya mtuu...
Haya huko Tanesco unakosema tangu juzi mtandao unasumbua, kuna aliyekufa kwa kushindwa kununua luku?

Kuna ndama hapo juu imesema kila mtu ajitafakari..ohh yy akikumbana na ishu kama hizi anajotafakari yeye kama yeye anawahudumiaje watu wake akidhani wote tumeajiriwa .shenz kbs
 
Mbona haya mambo yapo sana huko mahospitalini? Hamjui au kisa mtu wenu yamemkuta!!!...mkome tu mradi wote ni maccm mie sijali na i dont care
Humanity surpasses all segregation in terms of race, creed, sect, ethnicity, and political affiliation....

Our blood is red. None of us has a different hue running in our veins.

Therefore let our outcry be as one, no matter what party we belong to honey.
 
Kuna ndama hapo juu imesema kila mtu ajitafakari..ohh yy akikumbana na ishu kama hizi anajotafakari yeye kama yeye anawahudumiaje watu wake akidhani wote tumeajiriwa .shenz kbs
Hivi Mgonjwa anafika mapokezi hali yake inaonesha kabisa ni mbaya, wahudumu wanampita, halafu uje useme hawapaswi kulaumiwa???
Sio suala la kuombea ila ngoja imkute mtu, Watu tunasema hivi tumeshuhudia na inaumiza sana.
 
Hivi Mgonjwa anafika mapokezi hali yake inaonesha kabisa ni mbaya, wahudumu wanampita, halafu uje useme hawapaswi kulaumiwa???
Sio suala la kuombea ila ngoja imkute mtu, Watu tunasema hivi tumeshuhudia na inaumiza sana.
Hawaelewi hawa....hawaelewi...tena bora uugue ukiwa Dar..lakini sio mikoani..hakuna hosp ya maana si private ukienda ya rufaa unarudishwa ..labda uingia na motokaa..lol..pale getin hupiti ng'o
 
Back
Top Bottom