Tatizo sio kwa daktari bro .Tatizo ni protokali mpaka ufike kumuona daktari.Unaeza kufa kwenye benchi.Madaktari wana akili za ajabu sana. Hawajali maadili ya kazi zao wala taaluma yao. Ndiyo maana hata pale Muhimbili waliweka dude la kupiga nyumbu. Very stupid, incompetent, coward & naive.
Pole sana kwa Hoyce Temu.HUU MSIBA UMEHUZUNISHA WENGI SANA MKOANI MOSHI
NA PENGINE WENGI WANAKUFA HAPO HOSPT BILA KUPEWA MSAADA
WAZIRI WA AFYA WALIOCHANGIA KIFO CHA HUYU MAMA WAONDOLEWE KABISA HAPO HOSPT WATATUMALIZIA WAZAZI WETU
MAPOKEZI MASAA MAWILI BILA HUDUMA??KWELI AISEE
View attachment 1791168
View attachment 1791169
View attachment 1791171
Mkuu kulaumu hakusaidii ila ni kutotaka kutambua madhaifu yetu pia. Kulaumu hakusaidii wafiwa, wala aliyefanya kosa.
Kutopata huduma unayostahili popote pale huumiza.
Usipotibiwa vyema hospitali, bila kujali matokeo yake kama utapona au utakufa huumiza. Ukiporwa uwanja utaumia. Ukifungwa kwa kusingiziwa utaumia. Ukibambikiwa kesi ya uhujumu uchumi vivyo hivyo utaumia. Bahati mbaya yote hayo yanaweza sababisha kifo.
Binafsi nikiona matukio kama haya, hutumia muda huo kujitafakari jinsi ninavyotoa huduma kwa wateja wangu, maana nami ningependa nikienda sehemu fulani kupata huduma, nihudumiwe vizuri na kwa haki.
Kwani tuko chini ya serikali ipi?...sivurugwi navurugaWe nae...yaani wahudumu wote wa afya ni CCM? Umevurugwa sijui na nani mpendwa
Kuna mjinga mmoja kasema kila.mtu ajitafakari kwa nafasi yake...sasa mm mvuvi huko iramba najitafakari kwa angle ipi? MxiewMadaktari wana akili za ajabu sana. Hawajali maadili ya kazi zao wala taaluma yao. Ndiyo maana hata pale Muhimbili waliweka dude la kupiga nyumbu. Very stupid, incompetent, coward & naive.
No! Huwa wanapewa first priority paleKwani Walutheri huwa hawafi?!
Haya mambo yapo sana, kuanzia kwa wazazi wanaokufa na watoto wao mpaka wanaofia kitandani wakisubiri mda wa dozi.
Hawa wanazungumza yakimkuta mtu wao wa karibu,
Halafu unakuja na hoja eti tusilaumu wahudumu wa afya kwa kulinganisha na watoa huduma wa DART, BOT, Ardhi n.k n.k..
Upo serious????
Afya ya mtu unaichelewesha unamuua mtu mfano hai ndio huo.
Hio ardhi, DART hata ukikosa kabisa utakufa???
Kati ya sehemu ambayo uzembe hauvumiliki ni katika afya ya mtuu...
Haya huko Tanesco unakosema tangu juzi mtandao unasumbua, kuna aliyekufa kwa kushindwa kununua luku?
Humanity surpasses all segregation in terms of race, creed, sect, ethnicity, and political affiliation....Mbona haya mambo yapo sana huko mahospitalini? Hamjui au kisa mtu wenu yamemkuta!!!...mkome tu mradi wote ni maccm mie sijali na i dont care
You sound stressed!Kuna ndama hapo juu imesema kila mtu ajitafakari..ohh yy akikumbana na ishu kama hizi anajotafakari yeye kama yeye anawahudumiaje watu wake akidhani wote tumeajiriwa .shenz kbs
Hivi Mgonjwa anafika mapokezi hali yake inaonesha kabisa ni mbaya, wahudumu wanampita, halafu uje useme hawapaswi kulaumiwa???Kuna ndama hapo juu imesema kila mtu ajitafakari..ohh yy akikumbana na ishu kama hizi anajotafakari yeye kama yeye anawahudumiaje watu wake akidhani wote tumeajiriwa .shenz kbs
Aisee!No! Huwa wanapewa first priority pale
Yes...am stressd..hakuna kitu sipendi kama habari za hosp kusikia hakuna huduma..imenitokea feb ..relax..kwan ww huna stressYou sound stressed!
Hawaelewi hawa....hawaelewi...tena bora uugue ukiwa Dar..lakini sio mikoani..hakuna hosp ya maana si private ukienda ya rufaa unarudishwa ..labda uingia na motokaa..lol..pale getin hupiti ng'oHivi Mgonjwa anafika mapokezi hali yake inaonesha kabisa ni mbaya, wahudumu wanampita, halafu uje useme hawapaswi kulaumiwa???
Sio suala la kuombea ila ngoja imkute mtu, Watu tunasema hivi tumeshuhudia na inaumiza sana.
I'm stress-free.Yes...am stressd..hakuna kitu sipendi kama habari za hosp kusikia hakuna huduma..imenitokea feb ..relax..kwan ww huna stress
Hujaugua ..ndo maana...tulia au lalaI'm stress-free.
Kwahiyo wapinzani mkishika nchi wahudumu wa afya watabadilika tabia? haya tuishie hapaKwani tuko chini ya serikali ipi?...sivurugwi navuruga