Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

yan jaman achen tu, watu wana press tu ze ball yan, yan ni one touch one touch tu...tap, tap, tap, mara ndukiiiiiiiiiiiiii..........wayaaaaaaaaaaaa!!!

watu weweeeeeeeeeeeeeeeee, watu oyoooooooooooooooooo!!
 
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye

kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku
 
Wanaukumbi.

Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.

1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.

2. Regina Lowassa...
Wataje...

.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.

msaga sumu....
 
Lazima tumwaibishe yule aliyesema rais akitoka kasikazini ni heri afe.
 
Back
Top Bottom