Mkuu Mbowe amekabidhishwa 10bn ...kwa sasa Lowassa kageuka mungu
yaani Leo mikoa mingi tz ilikuwa haina umeme sababu dawa ya Leo Ni kali kwa hawa kunguru wa Lumumba fc (chama cha majizi) CCM
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye
Wanaukumbi.
Tujulishane waliofuatana na EL UKAWA.
1. Ole Medeye aliyekuwa mbunge wa ARUMERU MAGH.
2. Regina Lowassa...
Wataje...
.....UPDATE....
-Madiwani 20 wa ccm Monduli.
-Madiwani wa Ccm Shinyanga.
-Ester Bulaya.
-James Lembeli.
-Diwani wa Moshono na Viongozi wa ccm kata Terrat.
Mkuu Mbowe amekabidhishwa 10bn ...kwa sasa Lowassa kageuka mungu
75 ya wabunge wa ccm walikuwa wanamuunga mkono enl so tutegemee wengine.
huyo si amekatwa ufirstlady?...
kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku
Swadataa nae muda ukifika atatoa yake ya moyoni.. Ni suala la muda tu
Mimi apa
Mafuriko!
kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku