Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
kandaa ya ziwa hatumjui mamviiii aende kuwadanganyaa kaskazin na sio uku
Kanda ya ziwa tunaikubali CDM tunawaamini viongozi wa UKAWA. Tumempokea Lowassa kwa furaha. Kwa taarifa yako hadi chato nyumbani kwao Magufuli ni full shangwe kwa ujio wa jembe.