Ngoma ndio kwanza imeanza hii.. kuanzia kesho mafuriko yaliyozuiliwa kwa mkono yanaanza kubomoa.. na yatakula mpaka misingi
Hahaa misimo ndugu wenye munguwao wasikusikieMda mrefu tulijua huyo mama ni msaliti
Hahaa misimo ndugu wenye munguwao wasikusikie
yaani Leo mikoa mingi tz ilikuwa haina umeme sababu dawa ya Leo Ni kali kwa hawa kunguru wa Lumumba fc (chama cha majizi) CCM
Mkuu unatia kinyaa kwani lazima uchangie unaongea utumbo kwa mambo ya msingi wacha wajuvi wa mambo wapambane kwa hoja tutolee vioja hapa kaa pembeni ushuhudie watu wanapambana kwa hojamfumo hupi wakati ndo huo umewaweka mifukoni viongozi wako kwa billion 10,
Lowasa ni Fisadi zaidi ya Richmond!
Ana RB UN Si muda mrefu atakamatwa na kkupelekwa ktk mahakamaya ya Kimataifa
Mkoa wa Arusha umeingiliwa na CHADEMA
huyo si amekatwa ufirstlady?...
Hashim Lundenga kwa ajili ya kumtafutia totoz :A S-rap:
Mkuu Mbowe amekabidhishwa 10bn ...kwa sasa Lowassa kageuka mungu
Lowasa ni Fisadi zaidi ya Richmond!
Ana RB UN Si muda mrefu atakamatwa na kkupelekwa ktk mahakamaya ya Kimataifa
Mkoa wa Arusha umeingiliwa na CHADEMA
Kulielewa hili jambo la leo inahitaji tafakari ya kina sana, any way.
Siasa sio kitu kizuri sana wakati mwingine
mumezoea kutafuta nje ya ccm maana ndani yenu hakuna kitu