Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

Una utafiti wa kutosha mdau,ama unakipaji cha bofya huaweii yako ya msaada wa ccm pkee?.
 
Waje wapigevkampeni kutakuwa na akira nyingi. Wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, etc nafasi zote za kisiasa

mumezoea kutafuta nje ya ccm maana ndani yenu hakuna kitu
 
Kulielewa hili jambo la leo inahitaji tafakari ya kina sana, any way.
Siasa sio kitu kizuri sana wakati mwingine
Hakuna ugumu wa kulielewa hili mkuu, lengo la upinzani ni kuondoa mfumo uliopo, Lowasa atawezesha hili, kwa nini wasimtumie?!
 
Hakuna ugumu wa kulielewa hili mkuu, lengo la upinzani ni kuondoa mfumo uliopo, Lowasa atawezesha hili, kwa nini wasimtumie?!

mfumo hupi wakati ndo huo umewaweka mifukoni viongozi wako kwa billion 10,
 
Hadi watakapoenguliwa kwenye kura za maoni ndo watakuja ukawa, na si kwa ajil ya uchungu wa nchi bali kwa ubinafsi wa vitambi vyao
 
Hii ndio Tanzania MPYA TUNAYO ITAKA miaka takrban 55 ya UHURU? Itakuwa kama ESCAPING FROM THE SOBIBO other hav to die...
 
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye

Rahaa Sanaa. Dakika ya 85

Ukawa (5) -- Lumumba FC (0) Bila
 
navyojua mimi arusha yote CCM imezikwa rasmi,Kilimanjaro,mbeya,morogoro,sinyanga kanda ya ziwa yote,na baada ya siku chache mtaona wengine wengi wakifuatana naye

Huo ni ufahamu wako, siyo lazima uwe sahihi. Mwanafunzi akifanya mtihani huandika majibu anayojua na kuamini ndiyo sahihi, mwalimu akisahihisha mwingine humpa A, mwingine B na mwingine F.

Mwalimu wa kweli atakayetujulisha usahihi ni matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015, Watanzania walio wengi watafanya maamuzi ndipo tutakapopata majibu sahihi.
 
Kile kifaa cha kufungia milango wakiwa wameambatana na kifaa cha kuchimbia mashimo wanajiandaa kwenda kujisalimisha kwa Lowassa.
 
Back
Top Bottom