gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,006
- 15,988
- Thread starter
- #61
Maneno tu ya kwenye kanga hayo, tarehe 31 kila mtu alikua ndani, hakuna internet, hakuna kutokaKwahiyo kipi mlichotibu hadi hapo?
Mnadhani kuua ndo dawa?
Kwenye kichaka cha Tz nchi ya amani tumeshatoka hko kinachofutia kila mtu atasherehekea kwa wkati wake