mtoo wa mwakidira
Member
- Sep 23, 2015
- 33
- 0
Pale DAELP Eng department kulikuwa na Mlengera bado yupo alitutesa sanaaa.Pia SM Mpanduji anamawe ya hatariiii kuna test moja niliwahi pata 04% halafu below 10% wanasomwa mbele hicho kitu cha STRENGTH OF MATERIALS ila mwisho wa UE nikamkazia Na kupata B+.Wale wote mnaokwenda Engineering acheni woga ukikomaa hata SUP utakuwa unazisikia kwa jiraaaani tuu.
hayo ni moja ktk maneno mazur mno yanayo2tia moyo, ila hata walo2tisha wapo sahih maana wame2fanya tuwe TAYARI kwa yatakayo2kabili, maana tushapata fununu fununu kip ktakua mbele yetu!
so, KAZ KWE2