Moody Rutunga Jr.
Senior Member
- Sep 25, 2013
- 110
- 16
Hilo nalo neno
SUA majina tayari kwa wale ambao hawajui ingia hapa
Welcome to Sokoine University of Agriculture :bowl::bowl:
Oya wadau mnaokuja mwaka wa kwanza msitishwe na watu kwamba SUA pagumu,NO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
It depends na wew mwenyew.elimu ni ya kawaida tuu mtaipenda but SUP na SCORING of 0 in TEST kitu cha kawaida sana wadau
Waambie ukweli, na huku jf waache kuingia kabisa bila sababu.
Kwani SUA wametoa majina?
Kaka mimi nimechaguliwa kozi ya AGRICULTURAL ENGINEERING, naamin sote tupo kozi moja cha msingi tuombeane kaka.
Kwa Wale waliopangwa SUA kozi hizi hapa tujuzane niwape utaratibu na mikakati ya kuchomoka SUA salama
Agricultural engineering,Irrigation & water resource engineering na Bio processing engineering
KARIBUNI SANA SUA
Watu wengi wanafika pale wana one, basi wanajiona wao ndio wao...kusoma hawasomi...starehe madem ndio wao!!! Sasa baada ya UE anajikuta ana sup 5 mpaka netwek ya kichwa inakata hahahaha!!! Hapo ndio anazinduka na kuanza kusoma!!