jaman 2peni moyo wa agr. eng. mbn mnatutisha mno!
walofanikiwa tupeni mbinu mmepenyaje mpka mkapata bachelor yenu!
Hata USA alipokua anataka kuivamia Iraq alitishiwa sana, lakini mwisho wa siku aliivamia na kuipiga. Uamuzi wa kushidwa na kushinda unao wewe mwenyewe.
Wadau vp kuhucu irrigation &water resource engineering
Adamawa
Kwanza kabisa kama umepata hiyo kozi na kama uliomba mkopo una uwezekano mkubwa wa kupata 100 pasenti ya boom.
Pili pitia hapa u download pdf itayokupa mwanga zaidi juu ya hii kozi..
http://www.foa.suanet.ac.tz/aeng/Courses/B.Sc.%20Irrigation%20and%20WRE.pdf
Kwenye kozi hii utajifunza aspects zote za umwagiliaji, kuanzia kudesign kujenga na kumaintain irrigation structures kama dams, canals etc!!! hutaishia kwenye umwagiliaji tu hata ujenzi wa nyumba utafundishwa!! ndani ya hii kozi pia utajifunza basics za civil engineering, electrical engineering, mechanicanical engineering!!! Inshort ni kozi nzuri sana kama tu utakua msomaji na mfwatiliaji wa masomo!!!
Pitia hii link
sitaki kulisikia jina la Agric Eng., rafiki yangu aliliwa kichwa mwaka wa nne.
Yes huyu nimeshamsikiaga sana!! Infact kwa mtu wa mwaka wa tatu au wa nne kuliwa kichwa ni ngumu sana labda kama hakuwa ACTIVE KWENYE MASOMO!!
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa mchoro mchoro mchoro huwezi kuukimbia kama unataka kuwa engineer!!!1
Uko sahihi hakuna engineer anayesoma engineering bila kukutana na ENGINEERING DRAWINGS hasa mwaka wa kwanza!!! na hapa ndipo unapopewa misingi halisi ya uhandisi.
kuanzia mwaka wa kwanza mpk wa nne mchoro lazima upige kila mwaka
Wale mnaoingia Second year jiandaeni na ENGINEERING DESIGN hapo ndo mtakapo kuja kupoteana wenyewe
Moody Rutunga Jr.
kwenye red
Drawing hutasoma miaka yote, kwa nnavyokumbuka drawing unasoma mwaka wa kwanza kama core, mwaka wa pili ni Autocad kama elective, mwaka wa tatu ni design na sio drawing ya mwaka kwanza. Mwaka wa nne hawasomi mchoro ladba kama unaongelea SUA/DAELP ingine.
kwenye blue.
Engineering design kama sikosei anaifundisha mganilwa ambaye kwa sasa yuko NIT na ina 1 credit, to be honest this course is more than sweet na haina ugumu wowote.