Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

kazi kwenu vijana kuna mchalaaa wangu ana piga bvm mjanja fulan iv mpen hi
 
Wale wa agribusiness karibuni

Salam wanajf

Kuna ndugu yangu kachaguliwa SUA Agrobussiness kwa mujibu wa profile yake ya TCU inavyoonyesha ila jina lake halipo kwenye majina ya first batch selection yaliyopo kwenye website ya chuo hivyo amebaki njia panda hajui afanyeje

msaada wa mawazo wanajukwaa
 
Kama profile inaonyesha agribusiness asubiri second batch maana agribusiness inahitaji watu takribani 220 but nimeona 212 yawezekana yumo kwenye walioongezeka
 
Hongera kwa kuchaguliwa hiyo kozi,ngoja wanaoifahamu vizuri wanakuja kukufahamisha kwa upana zaidi, ila inanishangaza uliwezaje kuomba kozi ambayo hauijui inahusika na nini?

jamani mbona mmeniacha sorembaaa kuhusu swali lang....
 
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaa mchoro mchoro mchoro huwezi kuukimbia kama unataka kuwa engineer!!!1
kuanzia mwaka wa kwanza mpk wa nne mchoro lazima upige kila mwaka
Wale mnaoingia Second year jiandaeni na ENGINEERING DESIGN hapo ndo mtakapo kuja kupoteana wenyewe
 
jaman mm napenda kuuliza kuna yeyote aliyetumiwa email na sua kwaajili ya SUASIS
 
Vijana wote waliochaguliwa sua mwaka huu,ni vizuri mkaandika kozi uliyopangiwa na kwa wale waliopangwa agricultural engineering tupeane mawasiliano,namba yangu 0718076801
 
Vijana wote waliochaguliwa sua mwaka huu,ni vizuri mkaandika kozi uliyopangiwa na kwa wale waliopangwa agricultural engineering tupeane mawasiliano,namba yangu 0718076801

sitaki kulisikia jina la Agric Eng., rafiki yangu aliliwa kichwa mwaka wa nne.
 
Acha tu mkuu!!! Kwakweli lazima akili ikae sawa, ukishazichomoa nidham ya kitabu inaanza hahahahaaa!!! Siku izi si unajua mfumo umerahisishwa kidogo kuna watu wana mpaka 8, ila cha mwimu uwe na credit 16 za kukuwezesha kwenda freedom square.

NELSON MANDELA FREEDOM SQUARE, Ukumbi huu mtu yuko huru na wa amani wakati wa mahafali na welcome freshers, lakini wakati wa sup jasho linakutoka kila mahala
 
jaman 2peni moyo wa agr. eng. mbn mnatutisha mno!
walofanikiwa tupeni mbinu mmepenyaje mpka mkapata bachelor yenu!
 
Wadau vp kuhucu irrigation &water resource engineering

Watu wanasema ni nzuri pia usihofu kama umechaguliwa hiyo kozi wewe ukifika chuo komaa nayo tu, kama kawaida halafu pia tupeanea mawasiliano maana wote tupo department moja ili tuendelee kujuzana mambo kadhaa.
 
Back
Top Bottom