Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Ahsante upepo wa pesa kwa taarifa hiyo,unasoma kozi gani hapo SUA mkuu?
Nilisomaga. Wewe umepangiwa kozi gani?
Ahsante upepo wa pesa kwa taarifa hiyo,unasoma kozi gani hapo SUA mkuu?
Kwani SUA wametoa majina?
Nmepangwa AGRICULTURAL ENGINEERING,wewe ulisomaga kozi gan?
Sup 5 kuzisapua mbona akili lazima imkae sawa mtu.
Upepo wa pesa kumbe na ww upo hapo DAELP? Unasoma kozi gan kaka?
Acha tu mkuu!!! Kwakweli lazima akili ikae sawa, ukishazichomoa nidham ya kitabu inaanza hahahahaaa!!! Siku izi si unajua mfumo umerahisishwa kidogo kuna watu wana mpaka 8, ila cha mwimu uwe na credit 16 za kukuwezesha kwenda freedom square.
Mkuu wewe bado unasoma hapo ama ulishamaliza?
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Haya sasa tupange mashambulizi kwa mwaka wa kwanza mjipange hivo nawapa lonja myk
MODULE
AE 110 WORKSHOP TECHNOLOGY
AE 111 ENGINEERING DRAWING (S.M.Terengia) Mzee wa visabuni,Hakuna kutembea weekend ni mchoro tuu,,,Hahahaaaaaaaaaaa mchoro mtatubuuu!!
AE 112 ENGINEERING STATICS (Prof Mpanduji a.k.a ZE Great Conquer a.k.a Baba la Baba ) HEAD OF DEPARTMENT OF AGRICULTURAL ENGINEERING.
AE 113 INTRODUCTION TO AGRICULTURAL ENGINEERING (Prof Mbilinyi )
MTH 104 GENERAL MATHEMATICS I ( Nyarusanda Linus)
AS 101 ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION ( Prof Abood )
ENV 111 METEOROLOGY (Nguvava,M)
Hizo ndio core courses kwa engineering mmeona kizigo hicho?????????????
Waambie ukweli, na huku jf waache kuingia kabisa bila sababu.
sup hata ikiwa moja ni mzigo moyoni, khaa