kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
leo nikiwa kwenye pitapita nilikutana na kijana wa udom aliyenihakikishia kuwa wanafinzi wasichana 9 walibakwa na polisi katika chaka la makulu katika vurumai za juzi.wana TAMWA,TGNP , utu mwanamke mko wapi????