Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,380
Reaction score
56,078
Naomba msinisute huo ndo ukweli sema kinachoua soo..ni kua inakua makubaliano yenu wawili kati ya mke na mume kwa kuhofia aidha km mna mtoto mdogo au hamko tayari kupata mtoto kwa wakati huo

Nna ushahidi japo wa ndoa zinazonizunguka kila mmoja kashapanchi aseehh!ukiuliza wanakuambia kwani si nafanya na Mme wangu...!!!Tena mwanaume ndo wanaenda kunnua hizo Misoprotol!!!!

Sasa km mkeo au mmeo kwa nini msitumie Kalenda au mpira..Mpira wanaume hawapendi kutumia kwa wake zao asilani!!!mwisho wanajikuta mimba juu ya mimba wanatoa...Mungu anawaona lakini mnaofanya hvyo na wake zenu!!!

Dhambi ni dhambi tu kuua ni kule kule kiumbe kisicho na hatia iwe ndoani au kwenye uzinzi hakuna aliyehalalishiwa...

Nyie wanaume saa ingine wake zenu wanatoa mimba bila nyie kujua maana wapo wanaume hiyo dhambi hawajui wanachofanya wanannua Misoprotol anameza unajua yuko hedhi kumbe tayari mama wa marehemu!!!

Tumieni kama kama hamko tayari kulea!
 
Sense.
Nimeshawah kusikia ushuhuda huu tena toka kwa watumishi wa Mungu kabisa.Mwanamke ali conceive akiwa na mtoto wa miezi miwili tu.Sasa kuficha aibu waka abort lakin iligundulika kwakua hawakua wazoefu wa mambo hayo ya manslaughter ..
 
Ndio maana huwa nasema, ni Bora mtu mwenye wake wengi kuliko hawa wanaojifanya wanamilikiana wawili.
Ni wauaji balaa!!

Ukiwa zako na mwingine huna shida.
Huyu yuko hatarini unahamia upande wa pili.
We unazunguka tu. Nguvu zako ndio zinakuokoa.
Wazee wa zamani walikuwa na akili!!
 
Balaa tena hawaogopi wala nini....halafu hao ndo mabingwa kuwasemanga wasioolewa
Sense.
Nimeshawah kusikia ushuhuda huu tena toka kwa watumishi wa Mungu kabisa.Mwanamke ali conceive akiwa na mtoto wa miezi miwili tu.Sasa kuficha aibu waka abort lakin iligundulika kwakua hawakua wazoefu wa mambo hayo ya manslaughter ..
 
Ndio maana huwa nasema, ni Bora mtu mwenye wake wengi kuliko hawa wanaojifanya wanamilikiana wawili.
Ni wauaji balaa!!

Ukiwa zako na mwingine huna shida.
Huyu yuko hatarini unahamia upande wa pili.
We unazunguka tu. Nguvu zako ndio zinakuokoa.
Wazee wa zamani walikuwa na akili!!
We umekuja na jambo lako nje ya mada

Zamani hujiulizi kwanini mtu anazaa watoto 12
 
Huwezi nunua mtego wa panya ukajua anaenda kupamba seblen wote wanajua kipi kimeingia kipi kimetoka mana wanaume hata uambiwe nipo kwenye siku mbaya unacho waza wakati huo ni game tu
Hahaaa...so ukikosea mimba ndii!!!mnashaurina kupanchi mashine!!daahh!Mungu hapendi jamani
 
Back
Top Bottom