Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

Na weng wa hapa hawajawah kuingiza nchini hata nusu kontena.unawakuta jashoo na mishipa imesimama
Mlango tu wa forodha za ndan tu hawaujui
 
Yuko kwenye kukijenga chama. Viongozi wake wanatambua hilo, na wanamakubaliano hayo.
Nazani hujasoma nilichikiandika umeangalia kichwa cha habari mbio kureplay. So sad watu wa aina yenu ndio mnatawala siasa za kiafrika. Ndio maana siasa imejaa ujinga mwingi sana.
 
Nadhani wanamtumia kama tissue paper maana umaarufu wake hautishii kiti cha mama being a zero brain watamtumia vilivyo kuzima mijadala mingi sana ya muhimu
 
Umefafanua vyema
 
Mkuu umempa ushauri wa bure tena mujarab.
 
HAKUNA TAASISI YENYE WIVU KAMA TAASISI YA URAIS. Mwenye masikio na asikie neno hili toka kwa Nabii huyu. Kuonya, kukemea, kuagiza, umaarufu, nk. ni mambo ambayo Taasisi ya Urais inayalinda kwa wivu mkubwa.
 
Anachofanya Makonda ni sahihi ndizo siasa zinazohitajika kwa mazingira ya sasa ya kisiasa, akina Sofia na waenezi wengine walishindwa na CCM ilikuwa inaenda shimoni kijana amefufua ari hususani kwa watu wa chini kanda ya ziwa na kwingineko.
Plausible Deniability.

Wananchi sio wapuuzi kiasi hicho, na wala CCM sio wapumbavu kiasi hicho.

This is a zero sum game.
Hakuna wanachokifanya kisicho na baraka na mkakati wa pamoja. Kampeni ndio ishaanza.
 
Kwani Lucas mwashambwa anasemaje?
 
Plausible Deniability.

Wananchi sio wapuuzi kiasi hicho, na wala CCM sio wapumbavu kiasi hicho.

This is a zero sum game.
Hakuna wanachokifanya kisicho na baraka na mkakati wa pamoja. Kampeni ndio ishaanza.
very true and focused opinions ✔️🌹
 
Nadhani wanamtumia kama tissue paper maana umaarufu wake hautishii kiti cha mama being a zero brain watamtumia vilivyo kuzima mijadala mingi sana ya muhimu
Ila kumbuka nchi hii inawajinga wengi. Ata idd Amin Dada na Samwel Edoo walikuwa Zero brain Lakini wakachukua nchi.
 
Good militaka kikimbisha mrema na mwinyi
 
Labda JF waandae. Sidhani kama kuna chombo kinginekinaweza kua na huo uthubutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…