mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,885
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tangu kufunguliwa kwa shule za secondary na msingi inchini mwaka huu 2022,,,
Ofisi za afisa elimu mikoa mbali mbali zimekuwa busy Sana ktk kuhudumia wanainchi wanaohitaji uhamisho wa shule kwa watoto wao.
Baada ya wingi huo wa wananchi kujazana ofisi za afisa elimu mkoa,
limeibuka wimbi la walinzi kuwazuia watu kuingia ndani ya ofisi na kuwalazimisha watu kununua barakoa zinazouzwa nje ya ofisi hizo za mkuu wa mkoa:
Ni kama ule usemi wa kufa kufaana ndiyo kinachotendeka pale.
Leo nimekwenda ofisi za mkuu wa mkoa ilala - Dar es salaam na kujionea upuuzi unaofanywa na walinzi wa getini wanalazimisha watu kununuwa barakoa wakati wao wenyewe hawana barakoa.
Lilitokea zogo kubwa hata kupelekea kutaka kushikana mashati na walinzi wale, tena huku wakinitisha kuniweka chini ya ulinzi.
Sababu tu nimehoji kwanini wanizuie kuingia ndani wakati wao pia hawana barakoa.
Hivi hili la kujikinga na ugonjwa wa COVID ni kwa watu wengine tu? Au hata watumishi wa umma?
Kwanini walinzi hawavai barakoa? Lakini mgeni avae barakoa?
Niliwapa maswali magumu jamaa waka panic.
Nadhani pia hii ni aina fulani ya kunyanyasa wanainchi kwa kujificha ktk kichaka cha biashara ya barakoa.
Kwanza hata humo ndani wote hawana barakoa,
au kama wanazo basi wameziweka shingoni au mkononi badala ya kuzivaa usoni.
Natamka pasi na Shaka kwamba huenda walinzi wanahusika na biashara za barakoa zinazouzwa getini pale.
Nasema ni biashara zao sababu hakukuwa na ulazima wa kulazimisha watu kununuwa barakoa kwa nguvu na tena wanakwambiya "nunua pale getini"
Kuna kijamaa nje getini kimeshika barakoa anauza,,
Halafu hizo barakoa, zikishanunuliwa hazivaliwi kwa ufasaha bali watu huziweka mkononi na kupita bila usumbufu.
Sasa unanunua za nn na hazivaliwi?
Pia Hata hizo barakoa zenyewe zinazouzwa hapo getini zina usalama gani?
Maana zinaonekana ni locally kabisa.
tena zina dalili zote za kutengenezwa mitaani.
Wataalam wa afya wanashauri tununuwe barakoa zenye usalama tena pharmacy.
Sasa hizi za mikononi zina usalama gani?
Na ni maajabu sana kwakweli. Mlinzi anazuia watu wasiingie bila barakoa ,,
wakati yeye pamoja na waliomzunguka wote hawana barakoa.
Huu upuuzi ukomeshwe!
Naomba muheshimiwa mkuu wa mkoa Daresalam ,,uwaangalie walinzi hawa kwa jicho la tatu.
Hawa ndy watumishi wachache wanaochafua serikali yetu tukufu kwa njaa zao.
Wanaangalia zaidi biashara kuliko usalama wa afya za wanainchi.
Hata kama watu wanakula kwa urefu wa kamba yao.
Lakini hawapaswi kusumbuwa wanainchi, kwa kujificha ktk kichaka cha kuvaa barakoa.
Walinzi punguzeni njaa.
Tangu kufunguliwa kwa shule za secondary na msingi inchini mwaka huu 2022,,,
Ofisi za afisa elimu mikoa mbali mbali zimekuwa busy Sana ktk kuhudumia wanainchi wanaohitaji uhamisho wa shule kwa watoto wao.
Baada ya wingi huo wa wananchi kujazana ofisi za afisa elimu mkoa,
limeibuka wimbi la walinzi kuwazuia watu kuingia ndani ya ofisi na kuwalazimisha watu kununua barakoa zinazouzwa nje ya ofisi hizo za mkuu wa mkoa:
Ni kama ule usemi wa kufa kufaana ndiyo kinachotendeka pale.
Leo nimekwenda ofisi za mkuu wa mkoa ilala - Dar es salaam na kujionea upuuzi unaofanywa na walinzi wa getini wanalazimisha watu kununuwa barakoa wakati wao wenyewe hawana barakoa.
Lilitokea zogo kubwa hata kupelekea kutaka kushikana mashati na walinzi wale, tena huku wakinitisha kuniweka chini ya ulinzi.
Sababu tu nimehoji kwanini wanizuie kuingia ndani wakati wao pia hawana barakoa.
Hivi hili la kujikinga na ugonjwa wa COVID ni kwa watu wengine tu? Au hata watumishi wa umma?
Kwanini walinzi hawavai barakoa? Lakini mgeni avae barakoa?
Niliwapa maswali magumu jamaa waka panic.
Nadhani pia hii ni aina fulani ya kunyanyasa wanainchi kwa kujificha ktk kichaka cha biashara ya barakoa.
Kwanza hata humo ndani wote hawana barakoa,
au kama wanazo basi wameziweka shingoni au mkononi badala ya kuzivaa usoni.
Natamka pasi na Shaka kwamba huenda walinzi wanahusika na biashara za barakoa zinazouzwa getini pale.
Nasema ni biashara zao sababu hakukuwa na ulazima wa kulazimisha watu kununuwa barakoa kwa nguvu na tena wanakwambiya "nunua pale getini"
Kuna kijamaa nje getini kimeshika barakoa anauza,,
Halafu hizo barakoa, zikishanunuliwa hazivaliwi kwa ufasaha bali watu huziweka mkononi na kupita bila usumbufu.
Sasa unanunua za nn na hazivaliwi?
Pia Hata hizo barakoa zenyewe zinazouzwa hapo getini zina usalama gani?
Maana zinaonekana ni locally kabisa.
tena zina dalili zote za kutengenezwa mitaani.
Wataalam wa afya wanashauri tununuwe barakoa zenye usalama tena pharmacy.
Sasa hizi za mikononi zina usalama gani?
Na ni maajabu sana kwakweli. Mlinzi anazuia watu wasiingie bila barakoa ,,
wakati yeye pamoja na waliomzunguka wote hawana barakoa.
Huu upuuzi ukomeshwe!
Naomba muheshimiwa mkuu wa mkoa Daresalam ,,uwaangalie walinzi hawa kwa jicho la tatu.
Hawa ndy watumishi wachache wanaochafua serikali yetu tukufu kwa njaa zao.
Wanaangalia zaidi biashara kuliko usalama wa afya za wanainchi.
Hata kama watu wanakula kwa urefu wa kamba yao.
Lakini hawapaswi kusumbuwa wanainchi, kwa kujificha ktk kichaka cha kuvaa barakoa.
Walinzi punguzeni njaa.