Hakuna nchi duniani inachukulia elimu kitu cha kipuuzi kama Tanzania! Imagine tuna walimu wamehitimu halafu mashule hayana walimu? Tunajenga taifa la namna gani? Halafu tunakuja na rushwa za hovyo kama hizi kwamba fundisha seven month free ndio tukuajiri?
Are we serious?
Are we serious?