allyissa
Member
- Mar 22, 2018
- 20
- 7
Walimu wakuu watakiwa kutuma majina ya walimu wanao jitolea shule za msingi na sekondari kwa katibu mkuu o-tamisemi.
Kwa hiyo walimu mnao subiri ajira usipo jitolea ajira itakuwa ni baba mkwe.
Haijalishi una degree au diploma kwa sasa mhe anataka wazalendo wa nchi.
Walimu kwa sasa ajira sio kipa umbele uzalendo kwanza.
Kama unataka ajira wahi kwa mkuu wa shule mapema kwa shule ambazo majina hayaja tumwa.
Poleni wahitimu wa ualimu
Kwa hiyo walimu mnao subiri ajira usipo jitolea ajira itakuwa ni baba mkwe.
Haijalishi una degree au diploma kwa sasa mhe anataka wazalendo wa nchi.
Walimu kwa sasa ajira sio kipa umbele uzalendo kwanza.
Kama unataka ajira wahi kwa mkuu wa shule mapema kwa shule ambazo majina hayaja tumwa.
Poleni wahitimu wa ualimu
.