Walimu wakuu watakiwa kutuma majina ya Walimu wanaojitolea kwa Katibu Mkuu TAMISEMI

acha kudanganya wenzio chifu!

ujitolee bure bila hata nauli. inawezekana vipi?

kodi,chakula ,mavazi, nauli na mengineyo ulitoa wapi?

au ulikua unatokea nyumbani?

si vijana wote bado wapo kwao kama unavofikiri .kuna watu wamemaliza 2016 huko
Siwezi kukulazimisha uniamini mkuu lakini elewa tu kuwa nimefanya hivo na siyo Mimi tu wapo watu wengi wamewahi kujitolea au wanaendelea kujitolea bila kulipwa hata cent. Wapo ninaowafahamu wanajitolea halmashauri ya wilaya Fulani na hawalipwi chochote ila wanaendelea kukomaa wakiamini kuwa Kuna siku Michongo utasoma hapo
 
Hahahah wewe ni kama mimi, ni mzito kweli kwenye swala la kujitolea. Naona kama ni kujidhalilisha taaluma yangu. Kama sitapata mchongo kwa kusainishwa au kwa kupigwa jeki na m buyu ntaendelea kupambana kitaa tu.
Mkuu sio wote wanaojitolea wanategemea kupata ajira. Kuna wengi wanafanya kwa moyo mkunjufu kama ni ahsante kwa jamii. Wengine huwa wana ahadi za ajira taasisi tofauti na anayojitolea anataka kuji keep busy asije kubweteka na raha za kijiwe. Jaribu kuondoa hiyo fikra. Hata kama mw3zi x1 just jaribu huenda ukapata conbection huko!
 
Siwezi kukulazimisha uniamini mkuu lakini elewa tu kuwa nimefanya hivo na siyo Mimi tu wapo watu wengi wamewahi kujitolea au wanaendelea kujitolea bila kulipwa hata cent. Wapo ninaowafahamu wanajitolea halmashauri ya wilaya Fulani na hawalipwi chochote ila wanaendelea kukomaa wakiamini kuwa Kuna siku Michongo utasoma hapo
upo sawa mkuu

ila samahani nauliza kodi,usafiri, chakula, mtu anavipata vipi ilihali halipwi chochote?
 
Kujitolea bila kupata chochote inahitaji moyo wa chuma wakuu, imagine wengine unafamilia inakutegemea, si ndio mwanzo wa kuwaibia wagonjwa huko mfano kwa watu wa afya
 
upo sawa mkuu

ila samahani nauliza kodi,usafiri, chakula, mtu anavipata vipi ilihali halipwi chochote?
Hahahaha. Watu huwa tunapitia changamoto nyingi wakati wa kujitolea. Wengi tunajishikiza kwa ndugu kiubishi hivo hivo ili siku zisonge. Kiukweli hata Mimi katika kipindi chote Cha kujitolea nilikaa kwa ndugu maana nisingeweza kumdu maisha ya kujitolea. Ingawa Ni changamoto pia Kuishi na baadhi ya ndugu Kama hauna michango wowote ila kama Ni muelewa maisha yanaenda tu.
 
Kujitolea bila kupata chochote inahitaji moyo wa chuma wakuu, imagine wengine unafamilia inakutegemea, si ndio mwanzo wa kuwaibia wagonjwa huko mfano kwa watu wa afya

Kaka; i have this experience ila MUNGU mwema
 
Duniani tunabalansiana sana kiboko yetu muumba huko hakuna cha cheo wala ajira... Sembuse kujitolea!
 
DAH, KWELI KABISA mzee BABA ANATUNYOOSHA ,,,,,,, ila msijali kwani amjaona ma fly over, ma tran, Mandege,,,,, na MAVIWANDA yakutoshaa na mamilionea wakutosha,,like lizer hahhahah!!!! KAMA ITS JUST 5 YEARS TU WHAT ABOUT NEXT FIVE YEARS ? KAMA UR GRADUATE LET SAY UME GRADUATE 2016,2017,2018 AND 19 ALAFU IFIKE OCTOBER AUJA AJIRIWA ,,, COUNT another FIVE YEARS ndo uwetena na hope ya ajira ,,,,
 
Yaan ujitolee bure wakat umesoma kwa pesa hapo si bora nifanye mishe zingne tu kama ajira ipo ipo tu kuliko kunyanyaswa na elimu niliyolipia kuipata mm nilishasema kujitolea nooo ladda kama wananilipa
Sawa, maana wenye sifa kama zako wanazidi idadi ya walioajiriwa. Utamwajiri nani umwache nani. Tunaajiri wenye shida kwanza. Wanaojitolea wana shida, tuwape ajira hao kwanza. Wewe usiye na shida subiri.
 
sijakuelewa mkuu
kwamba wewe unaweza kujitolea kwa bure/laki na apo umepanga chumba na mahitaji mengine?

au unazani vijana wote wapo nyumbani kwao?

akili haikutumika hapa
Shule yetu ina walimu wa kujitolea 4. Shule inawapa sembe na maharage na chumba chenye kitanda na godoro tu. Posho ya mwezi ni 80,000 tu. Zaidi ya hapo ni viposho kama vya kusimamia mitihani ya ndani. Wanapiga kazi vizuri tu.
 
Shule yetu ina walimu wa kujitolea 4. Shule inawapa sembe na maharage na chumba chenye kitanda na godoro tu. Posho ya mwezi ni 80,000 tu. Zaidi ya hapo ni viposho kama vya kusimamia mitihani ya ndani. Wanapiga kazi vizuri tu.

Duh wapi hapaa
 
Shule yetu ina walimu wa kujitolea 4. Shule inawapa sembe na maharage na chumba chenye kitanda na godoro tu. Posho ya mwezi ni 80,000 tu. Zaidi ya hapo ni viposho kama vya kusimamia mitihani ya ndani. Wanapiga kazi vizuri tu.
Shule yetu ina walimu wa kujitolea 4. Shule inawapa sembe na maharage na chumba chenye kitanda na godoro tu. Posho ya mwezi ni 80,000 tu. Zaidi ya hapo ni viposho kama vya kusimamia mitihani ya ndani. Wanapiga kazi vizuri tu.
sasa mkuu shule zote zikiwa na utaratibu huo kuna mtu atakataa kweli. hata ningekua mimi ningeenda.

io shule ipo vizur mkuu mno vijana wengi wanatafuta io nafasi mbona
 
Back
Top Bottom