Walimu wa masomo ya sayansi jitathimini

ELIMU BORA =MASLAHI MAZURI YA WAALIMU+MAZINGIRA MAZURI YAKUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA+VITENDEA KAZI VYA KUJIFUNZIA NA KUFUNDISHIA+SERA MZURI YA ELIMU ISIYOFUNGAMANA NA SIASA+WAZAZI KUTIMIZA MAJUKUMU YAO KWA WATOTO.Hakika elimu ni cycle yenye process tatu INPUT+PROCESSING +OUTPUT,Hivyo utakavyowekeza vizuri katika elimu ndivyo utaprocess kitu raw kua pure na matokeo yake lazima yawe chanya tu iwe kwa jua ama mvua,tatizo kubwa la nchi yetu waalimu kutokana na uwing wao selikali inaona Kam mzigo kuboresha maslahi yao lakin jibu litabak pale pale hata ujenge shule za ghorofa alafu mwalim abaki kua duni tegemea matokeo duni,mwalimu aliyesirias na kumpa mtoto wake elim bora yuko radhi auze figo ili ampleke mwanae shule mzuri na sio hizi shule za kata ambazo yeye anafundisha
 
Fundisheni watoto hizi hoja zenu zinafanya muwe wazembe na kufail ioneka e kawaida
Sijakataa, ila kwa kiasi kikubwa inachangiwa na wanafunzi husika kutokuwa makini au ari kwa masomo ya sayansi, na unajua sayansi haitaki mbambamba imenyooka km rulaaa, ukileta blah blah inakuangusha dkk 0 tyuuh.

Hata mie nimesoma na naongea ninachokijua na nilikipitia pia.
 
mwalimu anayefundisha shule hizi za kata amekuelewa sana,,watoto wanaendekeza sana michezo,,ili wasome wanahitaji mkono wa chuma,,ukiwabinya ili wasome wazazi wanakuja juu,,viongozi wanakuja juu kwa mgongo wa haki za binadamu..

Wanasahau kuwa hakuna mwalimu kichaa anayeweza kutoka nyumbani kwake kwenda kuadhibu watoto wakitanzani bika sababu ya msingi.

Nilipoajiriwa nilikaa mwaka mzima simuwahi adhibu mtoto kwa kuwa nili amini ushauri na nasaha na kuwatia moyo pamoja kuwa inspire kunatosha sana kwa watoto kutekeleza wajibu wao wamsingi.

Baada ya muda nikagundua nilikuwa najidanganya maana ni asilimia ndogo tu ya watoto walinielewa wengi walianza kuniona dhaifu kila nikitoa oda watoto wengi hawatekelezi,,

Nikaamua kubadili muelekeo kwanza naanza kwa kuwelekeza nini wafanye na nini wasifanye wakienda tofauti wanakutana na mkono wa chuma,,ofcoz mambo yalikuwa yanaenda kwelikweli,,mpaka mkui wa shule ananiita ofisini kunipongeza.

Ila sasa ukikosea kidogo wazazi,,viongozi wanakuja juu,,inakatisha tamaa nishawahi semeshana vibaya na afisa elimu kisa utoaji wa adhabu,,nilijiuliza maswali mengi sana ,,na mwisho nikafanya maamuzi.

N.B mwalimu anapokosea mazuri yake yote yanafutika kwa msingi huu,,idadi kubwa ya wanafunzi ambao wangeweza kuokolewa wanaangamia walimu wengi wameamua kuwa reluctant.Kama kuna kiongozi wa elimu halijui hili basi uteuzi wake ulikosewa.
Boraa usemee wee, wanafunzi wako buzzy kudanga, kuvuta sigara, kubet, kutazama mpira, kucheza PS, mda wa kusolve chem na phys hanaa, maths ndo kabisaa hawagusi tena wanakuambia "maths husomi wala husolve inakuja automatically " afu utegemee wafaulu?

Hapo hapo vifaa wezeshi vya masomo husika hakuna, maabara zenyewee zinageukaa majengo ya maonesho.

Hakuna walimu nawaonea huruma km wa sayansi hasa shule za serikali, wanapitia magumu mnooo. Mungu awape subra na hekima kwa kweli. Mweeeeh.
 
23.3% shocked 😲 most of US!!

They did what they planned?

it's better to congratulate all teachers for their efforts 😝😝😝
 
Wewe ndio UNAZINGUA UTAKUWA ni daktari labda usimforce MTOTO afaulu masomo ya science uwe baba mpole je badaye akiwa wakili mashuhuri Hadi ishu za mikataba mikubwa uyo mwanao ANAWEZA arts comment zako hazina mashiko
 
Msiwalaumu walimu TATIZO LA WATANZANIA WENGI ANATAKA KAMA YEYE PROFESSIONAL FULANI BASI MTOTO LAZIMA AFAULU.MASOMO FULANI NYIE MNAITWA WAZAZI PRIMITIVE MTAWA AFFECT WATOTO WENU KISAAKOLOJIA KWAIYO ENGLISH KAFAULU KEMIA BIOLGIA KAFELI HAYAWEZI MUWEZESHE KUTOKANA NA UFAULU WAKE
 
View attachment 2471877ukisema wazazi hawapeki kwenye bure ebu niambie shule kama hii wenye uelewa anajua mda ule elimu si bure idadi ya watoto ilikuwa ampaka mia saba sasa elimu bure angali hiyo ni META SEC ipo mbeya shule kongwe na marufu nchi hii
Angalau Sangu Sec wanajikokota, shule ya Meta ilianza kuporomoka mwaka 2015 kwenye matokeo ya Kidato cha Sita. Labda wapatikane walimu kama Land
 
Angalau Sangu Sec wanajikokota, shule ya Meta ilianza kuporomoka mwaka 2015 kwenye matokeo ya Kidato cha Sita. Labda wapatikane walimu kama Land
Marefu Yana ncha meta ya wanafunzi mia tano Leo hii hata wanafunzi mia haifikishi
 
Niende moja kwa moja kwenye mada walimu wa masomo ya sayansi ebu angalieni ufauru wa matokeo ya wanafunzi kidato cha pili arafu mkae chini mjitathimi maana haiingii akilini mtoto wa kidato cha pili anaepata A somo la kingereza arafu anapata F somo la Biology au Chemistry kidato cha pili kweli hampo serious zile kelele zenu sijui watoto hawafundishiki hamna uyu mtoto kajuache kusoma na kuandika kama afundishiki

Hii kasumba ya masomo ya sayansi magumu tuache wajibikeni mbona zamani haikuwa hivi tulizoea kuona hayo mambo somo la hesabu tu tena kidato cha nne ila sasa mambo yamekuwa tofauti physics shida, Biology shida, Chemistry shida hapana kuna uzembe hapa kidato cha pili yani kidato cha pili mtoto anashindwa fauru Biology au Chemistry are you serious?

NICHOMEKEE NA HILI PIA

Ukija kwenye somo la CIVCS napo huu ni ujingaa wa wataaluma kuamini kila mwalimu anaweza fundisha CIVICS matokeo yake ndio hayo nayo somo linafanya vibaya wakati zamani somo hilo kila mwanafunzi alifauru sababu lilifundishwa na walimu mahiri wa somo husika leo hii mwalimu wa kiswahili anaenda fundisha CIVICS kweli
Hao walimu unaowalaumu wapo? Isije kuwa hiyo shule Haina walimu au Ina upungufu mkubwa wa walimu wa Sayansi
 
Back
Top Bottom