youngprofesor-
Member
- May 5, 2022
- 19
- 37
ELIMU BORA =MASLAHI MAZURI YA WAALIMU+MAZINGIRA MAZURI YAKUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA+VITENDEA KAZI VYA KUJIFUNZIA NA KUFUNDISHIA+SERA MZURI YA ELIMU ISIYOFUNGAMANA NA SIASA+WAZAZI KUTIMIZA MAJUKUMU YAO KWA WATOTO.Hakika elimu ni cycle yenye process tatu INPUT+PROCESSING +OUTPUT,Hivyo utakavyowekeza vizuri katika elimu ndivyo utaprocess kitu raw kua pure na matokeo yake lazima yawe chanya tu iwe kwa jua ama mvua,tatizo kubwa la nchi yetu waalimu kutokana na uwing wao selikali inaona Kam mzigo kuboresha maslahi yao lakin jibu litabak pale pale hata ujenge shule za ghorofa alafu mwalim abaki kua duni tegemea matokeo duni,mwalimu aliyesirias na kumpa mtoto wake elim bora yuko radhi auze figo ili ampleke mwanae shule mzuri na sio hizi shule za kata ambazo yeye anafundisha