Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,677
Kwani uongo? Sayansi na Arts sio sawa.Kuna ugumu kwenye sayansiBoss walimu wapo sema walimu wa masomo ya sayansi wana ujinga kuwa masomo yao magumu kwaiyo mtoto kuferi wameanza kuona kawaida inabidi wasimamiwe waachie hizo kasumba