REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 3,942
- 7,944
Niende moja kwa moja kwenye mada walimu wa masomo ya sayansi ebu angalieni ufauru wa matokeo ya wanafunzi kidato cha pili arafu mkae chini mjitathimi maana haiingii akilini mtoto wa kidato cha pili anaepata A somo la kingereza arafu anapata F somo la Biology au Chemistry kidato cha pili kweli hampo serious zile kelele zenu sijui watoto hawafundishiki hamna uyu mtoto kajuache kusoma na kuandika kama afundishiki
Hii kasumba ya masomo ya sayansi magumu tuache wajibikeni mbona zamani haikuwa hivi tulizoea kuona hayo mambo somo la hesabu tu tena kidato cha nne ila sasa mambo yamekuwa tofauti physics shida, Biology shida, Chemistry shida hapana kuna uzembe hapa kidato cha pili yani kidato cha pili mtoto anashindwa fauru Biology au Chemistry are you serious?
NICHOMEKEE NA HILI PIA
Ukija kwenye somo la CIVCS napo huu ni ujingaa wa wataaluma kuamini kila mwalimu anaweza fundisha CIVICS matokeo yake ndio hayo nayo somo linafanya vibaya wakati zamani somo hilo kila mwanafunzi alifauru sababu lilifundishwa na walimu mahiri wa somo husika leo hii mwalimu wa kiswahili anaenda fundisha CIVICS kweli
Hii kasumba ya masomo ya sayansi magumu tuache wajibikeni mbona zamani haikuwa hivi tulizoea kuona hayo mambo somo la hesabu tu tena kidato cha nne ila sasa mambo yamekuwa tofauti physics shida, Biology shida, Chemistry shida hapana kuna uzembe hapa kidato cha pili yani kidato cha pili mtoto anashindwa fauru Biology au Chemistry are you serious?
NICHOMEKEE NA HILI PIA
Ukija kwenye somo la CIVCS napo huu ni ujingaa wa wataaluma kuamini kila mwalimu anaweza fundisha CIVICS matokeo yake ndio hayo nayo somo linafanya vibaya wakati zamani somo hilo kila mwanafunzi alifauru sababu lilifundishwa na walimu mahiri wa somo husika leo hii mwalimu wa kiswahili anaenda fundisha CIVICS kweli