Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika

Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika

Wadau,

Ahsanteni kwa kuupitia Uzi huu, na shukran za pekee kwa wote walioweza ku-apply kupitia email nliyowatumia.

Kifupi, tumepata applicants 14, tulipanga kuwafanyia 6 interview Leo hii, wengine wanne kesho na wanne wa mwisho Alhamis.

Leo tumefanikiwa kuwafanyia watatu, mmoja tumekosa mawasiliano nae kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu na wawili walikuwa hawapatikani hewani. Bahati mbaya ndio wameshakosa usaili, labda kama tutapata muda ijumaa tunaweza watafuta.

Wale wote waliotuma maombi nawasihi wawe wanapatikana hewani muda wote.

Muda wa kutuma maombi umekwisha na nawashkuru sana wadau.

Ahsanteni,
Relief Mirzska.
Kuna dogo nilimwombea kupitia email yangu sijui ameitwa
 
Wote waliotuma application watafanyiwa oral interview. Ukipita hapo itabidi uje zenji for practical interview
 
Mkuu mmewaita waje zenji namaanisha kuna mdogo wangu aliomba alifanyiwa interview jana.
Kama atapita interview ya online ataitwa tu. Kama hatopita ndio hivyo mkuu. Nani jina lake??
 
Siku hizi siyo lazima ' Interviews ' zifanyike ' on one to one basis ' badala yake kama kuna matumizi mazuri ya Mtandao basi unaweza ukamfanyia Mtu wa Tandahimba ' Interview ' huku Wewe ukiwa zako Kibanda Maiti na bado mkaelewana na hatimaye akawa ni mmoja wa Watendaji wako. Kwa nchi zilizoendelea hasa Kiteknolojia kama wangekusikia umeandika hivi kuwa sijui kuna ambao hawakuja kutokana na Kukosa Nauli si tu kwamba wangekucheka bali wangekudharau mno kwa aina hii ya ' Upopoma ' uliotukuka. Hata hapa hapa Tanzania ziko baadhi ya ' serious Offices ' siku hizi wanafanya ' Interviews ' zao kwa njia hii ya Mtandao kwa wale ' Candidates ' walio mbali nao Kijiografia. Tujifunze kubadilika na tusiwe tunatumia tu Mitandao kwa Kuangalia anavyofanyiwa Amber Rutty bali tuitumie kwa kufanyia vitu ' productive ' na vyenye Tija kama siyo Mantiki Kimaendeleo Kwetu.
Jibu nzuri kula tano kubwa ndio maana elimu zetu zinazaautika sana
 
Sawa mkuu mfikirie fikirie mkuu maana yuko fresh kwasababu amewahi fanya wonders baadhi ya shule za gvt na pvt kwa somo la hesabu.
Thanks ila nikuhakikishie kwamba mchakato utakuwa fair sana na alieonyesha uwezo ndio tutakaempa nafasi
 
wakristo pia wanaruhusiwa? isije wakaja chapwa viboko hadharani kama dini yenu itakavyo
 
Habari wadau,

Nliwahi kuleta bandiko humu buy ya nafasi za ajira kwa walimu. Nashkuru nlipata wadau walioomba lakini ki-ukweli hawakukidhi vigezo hata vya kuwaita for interviews. Wengine walishindwa kuja kufanya interview kwa sababu hawakuwa na nauli.

Mmoja alifanikiwa kuja interview tutakaa nae for one week lakini ali-fail interview.

Kiufupi shule ipo Zanzibar, tena beach kabisa na mazingira ya kazi ni mazuri sana. Gharama za usafiri wa kuja ni juu yako ila ukifika tutakupa accommodation kwa kipindi chote utakachokuwepo hapa maana interview zetu tunazifanya kwa kukuona ukiwa darasani pamoja na oral.

Interested candidates waje PM nitawapa my personal email ili watume CV zao kabla sijawapa my office email.

Vijana wa kiume wanashajihishwa maana shule tayari ina walimu wengi wa kike ila pia dada zangu msiache kuomba.

Thanks and regards,
Relief Mirzska.
updates ?? ?
 
Updates zitatoka tu. Nlikuwa nitoe Leo lakini ntatoa kesho kuna mdau mmoja hatujamfanyia interview. Kabaki peke yake
 
Back
Top Bottom