Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika

Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika

Mimi nimemaliza form 6 nikaingia chuo kusoma Bed science miaka 2 ila nikaacha hela ilikosekana,nikaingia mtaani, najua kufundisha, salary yoyote ila nafanya kazi...sina vyeti vya ualimu ila najua kufundisha,

NB: nafanya kaza kwa salary yoyote ile.
Bed science ndo faculty gani mkuu??
 
Taarifa wangu,

Kuna applicants wawili nimewapigia just now for interview hawapatikanai.

I will try once more after sometimes and if they will still be unreachable then I won't call again.
 
Wakuu,

Leo ndio itakuwa deadline ya kupokea application. Nina uhakika kuna watu humu watapata kazi. Na Leo Leo tukaanza interview. Wakiona inafaa, watakaofanyiwa interview Leo watawaletea ushuhuda.

Nyinyi wengine msioelewa maelekezo endeleeni kuuliza maswali.
Wengine hatufanyiwa interview
 
Wadau,

Ahsanteni kwa kuupitia Uzi huu, na shukran za pekee kwa wote walioweza ku-apply kupitia email nliyowatumia.

Kifupi, tumepata applicants 14, tulipanga kuwafanyia 6 interview Leo hii, wengine wanne kesho na wanne wa mwisho Alhamis.

Leo tumefanikiwa kuwafanyia watatu, mmoja tumekosa mawasiliano nae kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu na wawili walikuwa hawapatikani hewani. Bahati mbaya ndio wameshakosa usaili, labda kama tutapata muda ijumaa tunaweza watafuta.

Wale wote waliotuma maombi nawasihi wawe wanapatikana hewani muda wote.

Muda wa kutuma maombi umekwisha na nawashkuru sana wadau.

Ahsanteni,
Relief Mirzska.
 
Wadau,

Ahsanteni kwa kuupitia Uzi huu, na shukran za pekee kwa wote walioweza ku-apply kupitia email nliyowatumia.

Kifupi, tumepata applicants 14, tulipanga kuwafanyia 6 interview Leo hii, wengine wanne kesho na wanne wa mwisho Alhamis.

Leo tumefanikiwa kuwafanyia watatu, mmoja tumekosa mawasiliano nae kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu na wawili walikuwa hawapatikani hewani. Bahati mbaya ndio wameshakosa usaili, labda kama tutapata muda ijumaa tunaweza watafuta.

Wale wote waliotuma maombi nawasihi wawe wanapatikana hewani muda wote.

Muda wa kutuma maombi umekwisha na nawashkuru sana wadau.

Ahsanteni,
Relief Mirzska.
Mnaitaji walimu wangapi
 
Mpo vzr mnafanya interview kwa mawasiliano ila sidhani km unaweza pata mtu mzuri mpaka mumpe practical ground
Of course kuna second interview ambayo we will need watakaopass hii online interview waje zenji. Our interviews ni lazima tukuone site aisee
 
Mimi nimemaliza form 6 nikaingia chuo kusoma Bed science miaka 2 ila nikaacha hela ilikosekana,nikaingia mtaani, najua kufundisha, salary yoyote ila nafanya kazi...sina vyeti vya ualimu ila najua kufundisha,

NB: nafanya kaza kwa salary yoyote ile.
Wewe siyo mwalimu huruhusiwi kufundisha hata iwe nursery
 
Mimi ulinipigia leo j5 umesema utanitafuta watsapp,ila naona kimya ndo nasubiria
 
Back
Top Bottom