Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Habari wadau,
Nliwahi kuleta bandiko humu buy ya nafasi za ajira kwa walimu. Nashkuru nlipata wadau walioomba lakini ki-ukweli hawakukidhi vigezo hata vya kuwaita for interviews. Wengine walishindwa kuja kufanya interview kwa sababu hawakuwa na nauli.
Mmoja alifanikiwa kuja interview tutakaa nae for one week lakini ali-fail interview.
Kiufupi shule ipo Zanzibar, tena beach kabisa na mazingira ya kazi ni mazuri sana. Gharama za usafiri wa kuja ni juu yako ila ukifika tutakupa accommodation kwa kipindi chote utakachokuwepo hapa maana interview zetu tunazifanya kwa kukuona ukiwa darasani pamoja na oral.
Interested candidates waje PM nitawapa my personal email ili watume CV zao kabla sijawapa my office email.
Vijana wa kiume wanashajihishwa maana shule tayari ina walimu wengi wa kike ila pia dada zangu msiache kuomba.
Thanks and regards,
Relief Mirzska.
Nliwahi kuleta bandiko humu buy ya nafasi za ajira kwa walimu. Nashkuru nlipata wadau walioomba lakini ki-ukweli hawakukidhi vigezo hata vya kuwaita for interviews. Wengine walishindwa kuja kufanya interview kwa sababu hawakuwa na nauli.
Mmoja alifanikiwa kuja interview tutakaa nae for one week lakini ali-fail interview.
Kiufupi shule ipo Zanzibar, tena beach kabisa na mazingira ya kazi ni mazuri sana. Gharama za usafiri wa kuja ni juu yako ila ukifika tutakupa accommodation kwa kipindi chote utakachokuwepo hapa maana interview zetu tunazifanya kwa kukuona ukiwa darasani pamoja na oral.
Interested candidates waje PM nitawapa my personal email ili watume CV zao kabla sijawapa my office email.
Vijana wa kiume wanashajihishwa maana shule tayari ina walimu wengi wa kike ila pia dada zangu msiache kuomba.
Thanks and regards,
Relief Mirzska.