Walimu tunanyanyaswa sana

Walimu tunanyanyaswa sana

vicent tz

Member
Joined
Sep 27, 2016
Posts
27
Reaction score
35
nikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo na selikali LAKINI mualifu sugu tena muuaji ameua au amezulu watu eti wanasema uchunguzi unaendelea wakati inaelewka kabisa na pia anapewa mda wa kujitetea lakini mwalimu hapewi badala yake inapigwa simu tu kwamba awajibishwe...kwa nin na waalifu sugu km SCMPN mpaka sasa wanamuangalia tu wakati walimu menzetu wameachishwa chuo na wengne kufukuzwa kazi......ROHO INANIUMA SANA WALIMU WENZANGU...
 
Hoja inatetea upande wako kama mwalimu lkn jua skopioni ni yeye na hajafanya katika sekta but huyo mwalimu ni kafanya ujinga katika wizara kubwa tz nakipndi kibaya. Wacha muwajibishwa et skopioni wee
 
ungesema mwl tu isingetosha hadi uongeza wa UDSM, we mtu bna, si kuna CWT nenda wasilisha hoja zako
 
Fundisha lakini usiangaike na mtoto wa mtu acha apambane na wazazi wake!..mtoto si wako unamrekebisha bdae unageuziwa kibao ya nini?acheni kila mzazi apambane na mtoto wake atajijua mwenyewe.wazazi wenyewe ndio hawa wanashabikia ujinga hamna kitu ni hewa tu!..
 
nikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo na selikali LAKINI mualifu sugu tena muuaji ameua au amezulu watu eti wanasema uchunguzi unaendelea wakati inaelewka kabisa na pia anapewa mda wa kujitetea lakini mwalimu hapewi badala yake inapigwa simu tu kwamba awajibishwe...kwa nin na waalifu sugu km SCMPN mpaka sasa wanamuangalia tu wakati walimu menzetu wameachishwa chuo na wengne kufukuzwa kazi......ROHO INANIUMA SANA WALIMU WENZANGU...
Uandishi wako sio Wa kiualimu,amezulu,apewi
 
Sio kwa kipigo kile aisee kama wanaua mamba?? Tena ingelikuwa ni mwanangu mbona hiyo shule wangeifunga
 
Labda ni Mishahara haitoshi />
Kwa tabia hii mutanyanyasika sana
awa hapa waalimu wengine wakimpa kichapo mwanafunzi.
 
Kosa la Scorpion halihalalishi makosa ya walimu

Scorpion uhalifu wake ni kwa watu wazima
sio kwa watoto wadogo

walimu ni wazazi pia......hasira zenu msipeleke kwa wanafunzi
 
Ikikatwa makato hiyo unabakiza Tshs ngapi? Na ni kwa mwalimu wa degree nafikiri! Je! Hao wa msingi?
Tsh565,000 ndio wanabaki nayo,sasa kwani hujui kuwa walimu wa sekondari wana degree.
Na wa msingi ni Tsh419,000 hivyo bado umepotosha hapa.
Pia msingi kuna walimu wengi wana degree.
 
Kwanza Tambua upo Ndani Ya UONGOZI makini sana,nadhani ile video Mpendwa hukuangalia vizuri,ukiangalia vyema utagundua ule ni UNYANYASAJI wa waziwazi Hauhitaji DEGREE kuuona.hata mfungwa aliye ua ana HAKI zake,sijui wewe ulitaka ajieleze nini.japo kama hujapata habari mwalimu mkuu alijieleza,walimu nao walijieleza na mwanafunzi alijieleza isitoshe hata wanafunzi wengine waliojiwa na POLISI,mpendwa huyu ndo MGUFULI na HAPA KAZI TU......kiuka miiko ya kazi USHUGHULIKIWE FASTER!!!!!
 
Back
Top Bottom