Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kama unabisha ona mwanasheria uone.:juggle:
Oa Hakimu uone
Kama unabisha ona mwanasheria uone.:juggle:
Unge mPM tu but sorry - off topic
wameziwadia hizo posts dear ila Merytina is my blood sister alinisaidia nilipokuwa BANNED.Kwa sasa amenirejeshea kiti changuIs Merytina = Marytina???
Maana sasa naona posts za Merytina zimekuwa za Marytina???!!!!
sorry kwa off topic!
wameziwadia hizo posts dear ila Merytina is my blood sister alinisaidia nilipokuwa BANNED.Kwa sasa amenirejeshea kiti changu
mke mwemaaa anatoka kwa bwana.
mke mwemaaa anatoka kwa Yesu.
bonny mwaitege alisahau kutaja mke mwema anatoka shule au hospitali
Wadau, hili swala nimekuwa nikilisikia mara nyingi hasa kutoka kwa wakubwa wetu kuwa mwanamke ambaye either ni mwalimu au nesi huwa wake wema, wanajua kutunza familia, wabana matumizi, na huvumilia shida na raha bila kutaka makuu.
Je yana ukweli haya?
Alafu hao hao wakijagundua kazi sio mtu watakua wa kwanza kulia kwamba walimu na manesi hawafai!!!