- Thread starter
- #61
Tuambie basi kwanini ili tusikwazike tena
Nikikwambia sababu si ndio utakwazika zaidi bibie na nshakukwaza tena.
Tuambie basi kwanini ili tusikwazike tena
Twende zetu kule kwa Papizo bana huyu mpotezee anataka kupandisha watu hasira kwa nguvu sana potezelea kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiiii
pamoja na memba wengi kukukatalia ila pana kaukweli flani kwa hi sredi.Wadau, hili swala nimekuwa nikilisikia mara nyingi hasa kutoka kwa wakubwa wetu kuwa mwanamke ambaye either ni mwalimu au nesi huwa wake wema, wanajua kutunza familia, wabana matumizi, na huvumilia shida na raha bila kutaka makuu.
Je yana ukweli haya?
pamoja na memba wengi kukukatalia ila pana kaukweli flani kwa hi sredi.
pamoja na memba wengi kukukatalia ila pana kaukweli flani kwa hi sredi.
umeona eeh, sema mwamba ngoma huvutia kwake.
Majibu mengi yameonyesha kuwa ni kweli hasa waalimu.
Ila sijui kwa siku hizi manake fani ya ualimu imevamiwa na form four na six falures na sio wito kama zamani.
hapana Dena manesi wanafundishwa hospitality, walimu wana kitu wanaita HAIBA au unataka kibisha kuwa aina ya elimu aliyoipata individual haichangii kumrishape?Merytinaaaaa wewe ni mwalimu au nesi?????????????????
hapana Dena manesi wanafundishwa hospitality, walimu wana kitu wanaita HAIBA au unataka kibisha kuwa aina ya elimu aliyoipata individual haichangii kumrishape?
Ni rahisi just kwa mazungumzo ya dakika kumi kujua nani mwalimu katika kundi la watu.
Hapa JF kwa wadada wenye haiba ya kufanana na walimu au nesi just kwa post zake ni Michalle.(sina maana ni mwalimu au nesi)
hapana Dena manesi wanafundishwa hospitality, walimu wana kitu wanaita HAIBA au unataka kibisha kuwa aina ya elimu aliyoipata individual haichangii kumrishape?
Ni rahisi just kwa mazungumzo ya dakika kumi kujua nani mwalimu katika kundi la watu.
Hapa JF kwa wadada wenye haiba ya kufanana na walimu au nesi just kwa post zake ni Michalle.(sina maana ni mwalimu au nesi)
umeona eeh, sema mwamba ngoma huvutia kwake.
Majibu mengi yameonyesha kuwa ni kweli hasa waalimu.
Ila sijui kwa siku hizi manake fani ya ualimu imevamiwa na form four na six falures na sio wito kama zamani.
Uko sawa kabisa. Na hawanaga tamaa na kutaka makuu.
Watu wametoka nduki manake mjadala umekuwa mchungu kwa wasio na hizo taaluma.Nimeisoma hii thread toka jana nimecheka sana... wadada humu jamvini hawataki kabisa kukubaliana na ukweli na wengine mpaka wamepandisha hasira na kuondoka...shukrani kwako Leonardo kwa kutoa mada yenye changamoto kama hii.. Nimependa zaidi comment za merytina!!!
kwa hiyo wewe huukubali ukweli just bcs haupo kwenye kundi tajwa?Merytinaaaaa wewe ni mwalimu au nesi?????????????????
kwa hiyo wewe huukubali ukweli just bcs haupo kwenye kundi tajwa?
kwa hiyo wewe huukubali ukweli just bcs haupo kwenye kundi tajwa?
Au wale waalim walompiga Mkoba wa cwt.Ni kweli mketmwema atoka kwa Mungu! Katika jamii yetu wengi tunaamini walimu na maness wanaweza kuwa wake wazur kutokana na nature ya kaz zao wanaukarimu upole kwa wagonjwa na watoto, pata picha upate nes kama wale wa mwananyamala wenye roho mbaya wanaouza watoto, utatamani ungeoa barmed angebadilika
Kama unabisha ona mwanasheria uone.:juggle:Wadau, hili swala nimekuwa nikilisikia mara nyingi hasa kutoka kwa wakubwa wetu kuwa mwanamke ambaye either ni mwalimu au nesi huwa wake wema, wanajua kutunza familia, wabana matumizi, na huvumilia shida na raha bila kutaka makuu.
Je yana ukweli haya?
Is Merytina = Marytina???
Maana sasa naona posts za Merytina zimekuwa za Marytina???!!!!
sorry kwa off topic!