Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,276
Dena tayari Ma'ash?
Nimekusoma usijali
Dena tayari Ma'ash?
Jamani mke mwema sio kazi wala kigezo fulani.....mke mwema mwema ni tabia ya mtu, haijalishi anafanya kazi! Mshirikishe Mungu kwenye utafutaji wako, utapata mke mwema!
Keren, umenigusa penyewe..........kula 5 basi.
Ni kweli mketmwema atoka kwa Mungu! Katika jamii yetu wengi tunaamini walimu na maness wanaweza kuwa wake wazur kutokana na nature ya kaz zao wanaukarimu upole kwa wagonjwa na watoto, pata picha upate nes kama wale wa mwananyamala wenye roho mbaya wanaouza watoto, utatamani ungeoa barmed angebadilika
Wadau, hili swala nimekuwa nikilisikia mara nyingi hasa kutoka kwa wakubwa wetu kuwa mwanamke ambaye either ni mwalimu au nesi huwa wake wema, wanajua kutunza familia, wabana matumizi, na huvumilia shida na raha bila kutaka makuu.
Je yana ukweli haya?
Kwa hiyo sisi tuolewe na nani sasa kama wakuolewa ni manesi na waalimu peke yao
Hivi hii dunia ina waalimu tu na manesi.
Na mimi sasa nitaanzisha thread ya mainjinia na program officers
Wadau, hili swala nimekuwa nikilisikia mara nyingi hasa kutoka kwa wakubwa wetu kuwa mwanamke ambaye either ni mwalimu au nesi huwa wake wema, wanajua kutunza familia, wabana matumizi, na huvumilia shida na raha bila kutaka makuu.
Je yana ukweli haya?
mmmmh!!!!!!!!!
Bado warefu au wafupi...wenye macho makubwa...madogo....au ya kurembua...urefu wa nywele...ukubwa wa mashavu...urefu wa shingo...wanaotembea haraka na wanaotembea kivivu...majina ya ukoo na majina ya mwanzo....kazi za wazazi....n.k!!
Acheni ushamba....kazi ya mtu sio label ya kuonyesha tabia binafsi...kama ambavyo kabila na taifa sio!!Mpaka ufikie kuuliza swali la kijinga hivyo....kama ndo kigezo cha wewe kuchagua mke andika umeliwa!!
Bonge la musumali hili we lizy?Bado warefu au wafupi...wenye macho makubwa...madogo....au ya kurembua...urefu wa nywele...ukubwa wa mashavu...urefu wa shingo...wanaotembea haraka na wanaotembea kivivu...majina ya ukoo na majina ya mwanzo....kazi za wazazi....n.k!!
Acheni ushamba....kazi ya mtu sio label ya kuonyesha tabia binafsi...kama ambavyo kabila na taifa sio!!Mpaka ufikie kuuliza swali la kijinga hivyo....kama ndo kigezo cha wewe kuchagua mke andika umeliwa!!