DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Sipati picha mwanao alivyo tumbwasa. Yaani mtu unayemdharau bado unampelekea mwanao amtoe ujinga!!!unadhani kwamba nilifeli???
very foolish!
mimi nilifaulu nikapita viwango vyote vinavyohitajika.
kwa akili hizi za kibashite mtaendelea kuwapaka wanafunzi wetu matope vichwani tu!
hakuna mnalolifanya zaidi ya kugombania mapenzi na wanafunzi.
Hizi ni starehe za mbwa kuukalia mkia wake.
Na bado mtaendelea kutuletea watoto wenu waendelee kulishwa matangopori na watoto warembo wa kike kutukatia viuno.
Hakuna namna mkuu.