DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Asante mkuu, lkn najaribu tu. Lugha ilikuja na mapangaboiWalimu Huwa niwajabu sana
Uko vizurii
Asante mkuu, lkn najaribu tu. Lugha ilikuja na mapangaboiWalimu Huwa niwajabu sana
Uko vizurii
Hahahaha.Mkuu Sio mimi MI Nilisoma kiswahili tu mkuu
andika hivi...walimu wa siku hizi baadhi yao ni wapumbavu hasa wa sekondari.kuvaa milegezo na modo...tusidharirishane mkuu ni kweli kuna baadhi ya walimu wako hivo lakini sio wote....tuheshimuni basiwalimu wa siku hizi wapumbavu pumbavu tu hasa wa sekondari.
wavaa milegezo na modo.
wanachoweza ni kupambana na wanafunzi kwa viboko na kugombania mademu.
Ningekuwa namfundisha mtoto kwenye shule ninayofundisha kama ni kilaza hakika ningekuita ofsini kukupa vidonge vyako na ikiwezekana ukamfundishe nyumbani kwako akishakuelewa ndio umrudishe shuleni akiwa bright.afadhali wewe ni muungwana kuliko wengine wengi ambao ni asilimia kubwa.
shida yangu mimi kwenu ni kuhusu uonevu na upigaji hovyo wa wanafunzi .
mmezidi sana kushughulika na maswala ya hovyo sana.
nilipokuwa advance nilikuwa nashuhudia vituko kweli, walimu wanakimbia kimbia hovyo na mabakora.
hakuna comfortability kabisa ya wanafunzi kusoma.
siku zote nashauri adhabu za viboko zifutwe atleast kuanzia wanafunzi wa kidato cha tatu.
wale wachini nadhani labda ndio wanahitaji kubustiwa kidogo, (kidogo)
hamuwezi kutengeneza maadili kwa watu waliobalehe, mtawafanya wawe sugu na waoga waoga tu mwishowe wanafeli.
kama ni mathematics fundisha mathematics ondoka.
hii tabia ya kurarua wanafunzi na viboko visivyo na idadi ni kati ya vitendo vibaya sana vya kikoloni.
Wanafunzi wa zamani tulikuwa na adabu na heshima kwa walimu wetu lakini cyo vitoto vya kizazi hiki cha nyoka. Usipotumia fimbo atakupanda mgongoni na kukunyea. Eti unafight unasoma vitabu unasummarize notes tena unaandika mwenyewe ubaoni ili aandike kitu kilichosahihi lakn cha ajabu yeye anakuwa na akili nyingi kuliko mwalimu.afadhali wewe ni muungwana kuliko wengine wengi ambao ni asilimia kubwa.
shida yangu mimi kwenu ni kuhusu uonevu na upigaji hovyo wa wanafunzi .
mmezidi sana kushughulika na maswala ya hovyo sana.
nilipokuwa advance nilikuwa nashuhudia vituko kweli, walimu wanakimbia kimbia hovyo na mabakora.
hakuna comfortability kabisa ya wanafunzi kusoma.
siku zote nashauri adhabu za viboko zifutwe atleast kuanzia wanafunzi wa kidato cha tatu.
wale wachini nadhani labda ndio wanahitaji kubustiwa kidogo, (kidogo)
hamuwezi kutengeneza maadili kwa watu waliobalehe, mtawafanya wawe sugu na waoga waoga tu mwishowe wanafeli.
kama ni mathematics fundisha mathematics ondoka.
hii tabia ya kurarua wanafunzi na viboko visivyo na idadi ni kati ya vitendo vibaya sana vya kikoloni.
Sahihi kabisa. Kuna watu ni mabashite tunawaacha kama walivyoandika hivi...walimu wa siku hizi baadhi yao ni wapumbavu hasa wa sekondari.kuvaa milegezo na modo...tusidharirishane mkuu ni kweli kuna baadhi ya walimu wako hivo lakini sio wote....tuheshimuni basi
Ukiona mwl hana maana mwanao mfundishe mwenyewe kwan umelazimishwa ?acha kuzalilisha walimu hapa wapo watu wamefanikiwa kwa hao hao walimu,fundisha mwenyew mwanao kama ww mjanja mtawalaumu siku ya siku mnawapelekea watoto wenu,nashangaaga sana!Habarini za weekend wanaJF;
Nimesikitishwa sana na hizi video au post ambazo Mwalimu anapost au anasambaza mitandaoni huku akiwa anafundisha, tena anaonesha jinsi gani mwanafunzi anayemfundisha ambavyo haelewi ambae ni Mtoto mdogo under 10, najiuliza hivi maadili mliofundishwa huko vyuoni yanawaelekeza mfanye hivi.
Je wazazi wa hao watoto wakiwafungulia mashitaka mtasema mnaonewa,
Assume ni mwanao Unaingia mitandaoni unakuta video inaonesha jinsi gani alivyo bashite,
Assume baada ya miaka 30 Uyo Mtoto anakuja kuwa mwanasiasa na video Kama hizi hujui kwa kiasi gani utamdhalilisha?
Ombi kwenu walimu watendeeni watoto wetu Kama mnavyotaka wa kwenu watendewe, Kama mnaona ni sawa rudini vyuoni mkasome hata business administration inatosha![]()
![]()
![]()
video
Video zimegoma ku-upload
Kwa vile walimu hawana mtetezi ndio m,aana unajitanua humu maana kama ni vitendo vya ajabu basi askari wana ongoza lakin huko unaogopa kuongelea teh teh teh!! Ila walimu acheni tabia ya kupost picha za mapungufu ya watoto mnao wafundisha ingawa huenda lengo oenu ninkuionesha jamii changamoto mnayo kutana nayo lakin si jambi jema nadha wizara husika ilitolee kalipio kali na kuchukua hatua juu ya swala hili.ingekuwa ni kosa moja analitenda mtu mmoja tusingesema hivyo tatizo ni makosa mengi na ni watu tofauti Ndio maana nimetumia wingi ni walimu Sio Mwalimu mmoja![]()
![]()
Tulia mkuu
Ni kweli mkuu walim,u ni wamuhimu lakin hawa wanao post picha za watoto kwenye ,mitandao wachukuliwe hatu maana ni sawa na Dr. Kusambaza picha za wagonjwa mitandaoniUkiona mwl hana maana mwanao mfundishe mwenyewe kwan umelazimishwa ?acha kuzalilisha walimu hapa wapo watu wamefanikiwa kwa hao hao walimu,fundisha mwenyew mwanao kama ww mjanja mtawalaumu siku ya siku mnawapelekea watoto wenu,nashangaaga sana!
Ni kazi yako kama Mwalimu kumfundisha mtoto atoke kwenye huo ukilaza mpaka awe mwenye akili timamu. Bila hivyo basi utakuwa hujafanya kazi yako sawasawa!!Ningekuwa namfundisha mtoto kwenye shule ninayofundisha kama ni kilaza hakika ningekuita ofsini kukupa vidonge vyako na ikiwezekana ukamfundishe nyumbani kwako akishakuelewa ndio umrudishe shuleni akiwa bright.
Baada ya kukosa ajira lazima uchukieniliyemtukana nani???
walimu wa hovyo hovyo hawa wavaa kata kei tuwape jina gani zuri?
wapumbavu tu.
mwalimu kutwa kuchapana na wanafunzi, na kunyang'anyana visichana.
Mpumbavu mzazi wako aliyekupa malezi ya kipumbavu yanayokufanya utukane walimu ambao bila wao usingeweza kusoma na kuandika upumbavuwalimu wa siku hizi wapumbavu pumbavu tu hasa wa sekondari.
wavaa milegezo na modo.
wanachoweza ni kupambana na wanafunzi kwa viboko na kugombania mademu.
Basi na wewe ni mpumbavu video umeziona tano walimu wapo zaid ya laki tatu sasa hiyo research uliyo soma ndugu yangu wewe ni ya uchochoro gani.Siwezi kutumia umoja (Mwalimu) Huku nimeona video Zaidi ya tano lazima niseme wingi (walimu) kwasababu wapo wengi
Wewe utakuwa ulifeli sio bureafadhali wewe ni muungwana kuliko wengine wengi ambao ni asilimia kubwa.
shida yangu mimi kwenu ni kuhusu uonevu na upigaji hovyo wa wanafunzi .
mmezidi sana kushughulika na maswala ya hovyo sana.
nilipokuwa advance nilikuwa nashuhudia vituko kweli, walimu wanakimbia kimbia hovyo na mabakora.
hakuna comfortability kabisa ya wanafunzi kusoma.
siku zote nashauri adhabu za viboko zifutwe atleast kuanzia wanafunzi wa kidato cha tatu.
wale wachini nadhani labda ndio wanahitaji kubustiwa kidogo, (kidogo)
hamuwezi kutengeneza maadili kwa watu waliobalehe, mtawafanya wawe sugu na waoga waoga tu mwishowe wanafeli.
kama ni mathematics fundisha mathematics ondoka.
hii tabia ya kurarua wanafunzi na viboko visivyo na idadi ni kati ya vitendo vibaya sana vya kikoloni.