Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,465
- 4,186
Mkuu kumbe ulishahama kikamilifu toka kwa JPM. Hata legacy nayo umeitupa! Nakumbuka combat la JPM kwenye profile yako. Sasa naona ni SSH tu. Interesting.Acha kupinga,waraka ninao umesema walimu husika wapandishe,swala la kupanda madaraja liko kisheria halihusiani na bajeti,hujui kuwa mwezi wa tano watu walipanda madaraja,waweza niambia ni bajeti gani ilitumika kuwapandisha watu hao.
Hakika mama anaupiga mwingi,kura za watumishi wote hasa walimu lazima azibebe zote.jpm kabana sana watu,mama ni mwingi wa huruma,Mungu amjalie heri na baraka tele