Bado ni tetesi ikishathibitika ndio ukweli utajulikanaKuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?
Nyie acheni huu ujinga was tetesi kuhusu Hawa watumishi!mnawapandishia adrenaline halafu baadae Wanakua disappointed kama Ile asilimia 23.3!!mtawafanya wapate depression kubwa kuliko hii waliyonayo coz wanapiyltia wakati mgumu Sana na hakuna anaewajali nanjuhudi zao zimebagazwa Kwa muda mrefu!!Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?
Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?
Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?
Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?
Nyie acheni huu ujinga was tetesi kuhusu Hawa watumishi!mnawapandishia adrenaline halafu baadae Wanakua disappointed kama Ile asilimia 23.3!!mtawafanya wapate depression kubwa kuliko hii waliyonayo coz wanapiyltia wakati mgumu Sana na hakuna anaewajali nanjuhudi zao zimebagazwa Kwa muda mrefu!!
Acheni wakuu!!
Mwalimu wa ajira mwaka 2015 atapandaje wakati kathibitishwa kazini mwaka 2016 kama usemacho kina ukweli watakao faidi ni wa mwaka 2014Kuna tetesi kwamba kuna uwezekano mkubwa wa walimu walioajiriwa 2014 na 15 mwisho wa mwezi wa kumi na mbili watakuta mabadiliko kwenye mishahara Yao kutokana na kupanda vyeo,je kuna ukweli wowote?