KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Janualy ni National pay day kwa watumishi wote wa serikali na sio walimu peke yao, naunga mkono kwa 100% zoezi hili. lengo ni kubaini mishahara hewa kwa watumishi wote wa serikali.
Toka wameanza kufanya hivyo wameshawagundua wangapi? Na wamewafanya nini?
Na mbona wameshindwa kulikomesha hadi leo?
Je, kwa akili yako unadhani hyo hela ya wafanyakazi hewa inaliwa na nani siku zote?
Usumbufu tu, wezi wa hzo hela hewa mbona wanajulikana.
Hata wafanye nini, badi wataendelea kuwepo na pengine wataaongezeka.
The whole Tanzania system is corrupt.