Walimu kuchukulia mishahara dirishani mwezi january.

MBUFYA

JF-Expert Member
Aug 15, 2011
445
68
Zoezi la kuhakiki uwepo wa kuwalipa walimu hewa pamoja na wale ambao hawafanyi kazi linatarajia kuchukua sura mpya pale ambapo walimu wote nchini watapokelea mishahara yao ya mwezi january kupitia ofisi za elimu halmashauri za wilaya na manispaa.
chanzo cha habari hii kimesema hii ni muendelezo wa zoezi la kuhakiki walimu hewa wanao lipwa bila kufanya kazi
nawashauri walimu wote walio mbali na vituo vyao vya kazi kwa sababu mbalimbali andaeni nauli na mahali pa kufikia muda utakapo fika.
HERI YA MWAKA.
 
Hakuna jipya story za kila siku zisizo na tija!
Waanze kuhakiki mikataba ya madini, mikataba ya makampuni mbalimbali kama IPTL, SONGAS ndo waje kwenye hili!
 
Hakuna jipya story za kila siku zisizo na tija!
Waanze kuhakiki mikataba ya madini, mikataba ya makampuni mbalimbali kama IPTL, SONGAS ndo waje kwenye hili!

mkuu hapo una point, unajua hawajamaa wanapenda kusumbua walimu.
 
Ndio maana tuliwaangusha igunga na waendelee kutokera watakiona 2015.
 
Yaani kweli sie tunazidi kusonga kinyuma nyuma! Hiyo headache ya kupanga mstari nmb kuchukua hela haijatosha, sasa ni dirishani? Na hao wanaolipa na mabosi wao inabidi wavalishwe ile chuma ya maksai ili wasitafune hizo za walimu hewa!
 
Janualy ni National pay day kwa watumishi wote wa serikali na sio walimu peke yao, naunga mkono kwa 100% zoezi hili. lengo ni kubaini mishahara hewa kwa watumishi wote wa serikali.
 
Wakubwa hebu shirikisheni bongoz enu kwenye hili jambo.
Kuna wafanyakazi hewa wengi sana na kulipa mwezi mmoja dirishani ni njia mojawapo ya kuwabaini.
Heko serikali kwa hatua hii.
OTIS
 
Nalo hili tutasema tunaendelea ama tunarudi nyuma kiaendeleo?
 
Wakubwa hebu shirikisheni bongoz enu kwenye hili jambo.
Kuna wafanyakazi hewa wengi sana na kulipa mwezi mmoja dirishani ni njia mojawapo ya kuwabaini.
Heko serikali kwa hatua hii.
OTIS

Kuna orodha ya wafanyakazi wote (walimu) na vituo vyao vya kazi vinajulikana! Kama hatuwajui huyo cashier atawajuaje, ? maana vitambulisho kila mtu anaweza kutengeneza. Labda watakuwepo watu hawa wote ili kumtambua kila mtu kwa sura yake.
[*]cshier
[*]head-ticha
[*]mratibu
[*]afisa elimu (msingi + sekondari)
[*]mkurugenzi + afisa utumishi + mwanasheria
[/LIST]

Je hawa watu hawana kazi nyingine muhimu ya kufanya? Je anayepeleka hiyo orodha ya watumishi hewa ni mani miongoni wma hawa?


  1. Tukiwa tunasherehekea miaka 0.5karne, hili linaturudisha miaka ya 47!!!
 
Kuna orodha ya wafanyakazi wote (walimu) na vituo vyao vya kazi vinajulikana! Kama hatuwajui huyo cashier atawajuaje, ? maana vitambulisho kila mtu anaweza kutengeneza. Labda watakuwepo watu hawa wote ili kumtambua kila mtu kwa sura yake.
[*]cshier
[*]head-ticha
[*]mratibu
[*]afisa elimu (msingi + sekondari)
[*]mkurugenzi + afisa utumishi + mwanasheria
[/LIST]

Je hawa watu hawana kazi nyingine muhimu ya kufanya? Je anayepeleka hiyo orodha ya watumishi hewa ni mani miongoni wma hawa?


  1. Tukiwa tunasherehekea miaka 0.5karne, hili linaturudisha miaka ya 47!!!


  1. Pole sana hujui ulisemalo,......
 
kazi ya pay roll ni pamoja na kufanya kazi ya kuhakiki,ndio maana inaletwa mapema ili wakuu wa idara wahakiki,sasa kama wanapitisha malipo basi wao ndio hewa!!!
 
Kumbukak mi sifikirii pamoja na wewe. Kila mtu anafikira zake.
Na ndio maana kuna fikira za kijinga, hivi unaweza kukubaliana na mtu anaekwambia 1 + 1= 3? ukikukubaliana na huyu basi wewe ndio utakuwa mjinga zaidi kuliko yeye.
 
Mkuu hao walimu hewa wameanza leo?hao waheshimiwa wanalijua tatizo tangu zamani,kwa mtazamo wangu hizo pesa zilikuwa zinatafunwa na haohao wakubwa.kama wana ubavu wawachunguze wakurugenzi juu ya upotevu wa pesa hizo ndipo nitakapoamini kwamba wana nia ya dhati ya kulishughulikia suala hili.
 
Yaani kweli sie tunazidi kusonga kinyuma nyuma! Hiyo headache ya kupanga mstari nmb kuchukua hela haijatosha, sasa ni dirishani? Na hao wanaolipa na mabosi wao inabidi wavalishwe ile chuma ya maksai ili wasitafune hizo za walimu hewa!

yani njia ya kuhakiki walimu hewa ni kulipia dirishani??? Kweli akili za kawambwa hazichanganyiki kabisa na akili za dilunga.

Hii ndo njia ya kutafuna mihela sasa. Ukata huu wa january, wazee wa kazi watawaacha wakizibeba hizo hela kwenda nazo halmashauri? Na wilaya zisizo na bank kama makambako inakuaje!
 
Wakubwa hebu shirikisheni bongoz enu kwenye hili jambo.
Kuna wafanyakazi hewa wengi sana na kulipa mwezi mmoja dirishani ni njia mojawapo ya kuwabaini.
Heko serikali kwa hatua hii.
OTIS
Kulipa dirishani kutabainisha vipi hao wafanyakazi hewa,nani anayewajuwa wafanyakazi wote kwa sura zao.
 
Kulipa dirishani kutabainisha vipi hao wafanyakazi hewa,nani anayewajuwa wafanyakazi wote kwa sura zao.


Nataka wanaJF mtambue kuwa uhakiki huu unahusu sekta zote za umma. Kwa taarifa nilizo nazo ni kwamba watumishi watapewa HUNDI baada ya mtumishi kuwasilisha (yeye mwenyewe na si kutuma mtu) vitu vifuatavyo:-
I. Kitambulisho cha kazi chenye picha.
II. Salary slip za hivi karibuni.

Kadhalika watumishi waliopo masomoni na wagonjwa wa muda muda mrefu wapewe taarifa ili wawepo siku hiyo. Ambaye hatakuwepo atahesabika kuwa ni mtumishi hewa na hundi yake itarudishwa hazina na yeye kufutwa.
 
Ebwana watanzania tuwe serious na mambo muhimu yahusuyo nchi yetu coz mambo yanapoharibika sisi huwa wa kwanza kulalamika kuwa kuna ufisadi sasa leo wanapoamua kuchukua hatua za msingi kama hii ya kuhakiki ili pesa za walipa kodi zisipotee eti mnasema tunarudi nyuma hivi watanzania mfanyiwe kitu gani ili tulizike japo kwa kiwango kidogo:embarassed2:
 
Nataka wanaJF mtambue kuwa uhakiki huu unahusu sekta zote za umma. Kwa taarifa nilizo nazo ni kwamba watumishi watapewa HUNDI baada ya mtumishi kuwasilisha (yeye mwenyewe na si kutuma mtu) vitu vifuatavyo:-
I. Kitambulisho cha kazi chenye picha.
II. Salary slip za hivi karibuni.

Kadhalika watumishi waliopo masomoni na wagonjwa wa muda muda mrefu wapewe taarifa ili wawepo siku hiyo. Ambaye hatakuwepo atahesabika kuwa ni mtumishi hewa na hundi yake itarudishwa hazina na yeye kufutwa.

Dah! hapa umenigusa kwa sisi tuliopo masomoni pia wanatutaka turudi vituoni tufate hundi wakati mwezi waliochagua ni wa mitihani ya kumalizia muhula huku vyouni. Nahisi wafanyakazi waliomasomoni hasa nje ya nchi na mikoa ya mbali kimasomo wengi watafutwa kazi.
 
Mi sioni cha ajabu. Mboma Polisi siku zote wanachukulia dilishani na ufisadi unaendelea kama kawaida?. hiyo haisaidi. mtu anachukuliwa mshahara na mwalimu mkuu. sehemu nyingine shule zipo mbali na bank, wakisema waende kuchukua mshahara nani atafundisha wanafunzi siku 3? hao watakao kuwa wanatoa hela dirishani/wahasibu ndo hawaaminiki, wao ndo wanaongeza idadi ya wafanyakazi sio walimu waliopo darasani kila siku. Mia
 
Back
Top Bottom