Wamiliki kukubali tu siyo issue, maana wanajua kua wao sio watekelezaji! yaani hawatakua barabarani , na wanajua anayeongea nao hana uwezo wa kutoa maelekezo kwa madereva na makondakta , maana dala dala sio mali ya ummaViongozi wa Darcoboa, Uwadar ambao ni wamiliki wa vyombo hivyo, pamoja na mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi maderava Tanzania (TADWU) walikuwepo na wametoa kauli ya pamoja kuhusu suala hilo. Wamesema wameridhia wenyewe kuunga mkono juhudi za serikali.
Kwanini mnajenga taswira hasi kwenye kila jambo....hisia za ramli,uchauchawi...hamu yako nikuona mpango unashindwa ili uje JF bila nguo usherehekee!...mbona zamani kulikuwa na tiketi maalum kwa wanafunzi na makundi maalum na iliwezekana?☝
KAMA NAWAONA WALIMU WATAVYONYANYASWA NA MAKONDAKTA WA DALADALA,
TENA BORA HATA WANAFUNZI WATATHAMINIWA KWA KUWA WANALIPA 200/=
KULIKO WALIMU WATAKAOPANDA BURE.
______
NAUONA MTITI ZAIDI PALE KONDA ANAPOONDOA GARI PALE MAWASILIANO AU MAKUMBUSHO KUELEKEA MBEZI, TEGETA, GONGO LA MBOTO
NA
MBAGALA AKIAMINI AKIAMINI KABISA KUWA BASI LIMESHAJAZA ABIRIA ZAIDI YA 40,
KUMBE WOTE NI WAALIMU!
____________
TASWIRA MPYA NAIONA PALE 97.8% YA WABONGO TUTAVYOGEUKA WAALIMU KWA KUTEMBEA NA VITABU VYA KEMIA NA CIVICS WAKATI NI WAMACHINGA TU WA PALE mtoni KWA AZIZI ALLI,
NA
IKIZINGATIWA HATUONI KAZI KUFOJI VITAMBULISHO VYA KAZI YA UALIMU ILI TUPUNGUZE MAKALI YA NAULI.
_____
INGAWA SIJAJUA KAKA'ANGU @KAKA_MAKONDA AMEANDAA STRATEGIES ZIPI,
ILA
NASUBIRI KUSHUDIA VICHWA VYA UTOSI NA MAKONZI WATAYOPIGWA NDUGU WALIMU KWENYE DALADALA.
NIMEMALIZA!
We mwalimu gani hunaakili wewe siyo yule meya anayefuga madevu?Huyu bwanamdogo ni jipu toka kitambo! Maamuzi mengine yafaa kuwa universal; k'ndoni siyo nchi, nawaunga baadh ya wadau hapo juu kwamba tatizo LA mwalimu ni zaid ya hiyo nauli!
Me ni mwalimu pia, nachoona hapo ni siasa kwenye mambo ya msingi! Maamuzu hayo hayajalenga kumsaidia mwlm was nchi hii Bali kumdhalilisha na kumfanya awe inferior. Yawezekanaje mwanafunzi anaelipa 200 akeshe kituoni na mwalm apande bure tukiamini atawahi kazini? Me naona anatutekenya walimu huku anacheka yeye!!!
Nasubir nione matokeo!
Manesi vipi?
Na vipi "sisi"Mkuu bado mnafikiriwa zamu yenu bado wanaanza na walimu kwanza....
Nimecheka sn lakini umeongea POINT za msingi.☝
KAMA NAWAONA WALIMU WATAVYONYANYASWA NA MAKONDAKTA WA DALADALA,
TENA BORA HATA WANAFUNZI WATATHAMINIWA KWA KUWA WANALIPA 200/=
KULIKO WALIMU WATAKAOPANDA BURE.
______
NAUONA MTITI ZAIDI PALE KONDA ANAPOONDOA GARI PALE MAWASILIANO AU MAKUMBUSHO KUELEKEA MBEZI, TEGETA, GONGO LA MBOTO
NA
MBAGALA AKIAMINI AKIAMINI KABISA KUWA BASI LIMESHAJAZA ABIRIA ZAIDI YA 40,
KUMBE WOTE NI WAALIMU!
____________
TASWIRA MPYA NAIONA PALE 97.8% YA WABONGO TUTAVYOGEUKA WAALIMU KWA KUTEMBEA NA VITABU VYA KEMIA NA CIVICS WAKATI NI WAMACHINGA TU WA PALE mtoni KWA AZIZI ALLI,
NA
IKIZINGATIWA HATUONI KAZI KUFOJI VITAMBULISHO VYA KAZI YA UALIMU ILI TUPUNGUZE MAKALI YA NAULI.
_____
INGAWA SIJAJUA KAKA'ANGU @KAKA_MAKONDA AMEANDAA STRATEGIES ZIPI,
ILA
NASUBIRI KUSHUDIA VICHWA VYA UTOSI NA MAKONZI WATAYOPIGWA NDUGU WALIMU KWENYE DALADALA.
NIMEMALIZA!
Viongozi wa Darcoboa, Uwadar ambao ni wamiliki wa vyombo hivyo, pamoja na mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi maderava Tanzania (TADWU) walikuwepo na wametoa kauli ya pamoja kuhusu suala hilo. Wamesema wameridhia wenyewe kuunga mkono juhudi za serikali.
Kama ni suala la kudhalilika, basi tuseme askari wetu wa Polisi, Magereza, JKT na JWTZ nao wanadhalilika kwa sababu wao walipewa fursa hiyo na Chama cha Wenye Daladala Dar es Salaam mwanzoni mwa miaka ya 1990 na uamuzi ukaungwa mkono nchi nzima.
Tungesubiri tuone, kwa sababu daima kuna mahali pa kuanzia.
Na vipi "sisi"
Huyu si ameahidiwa kuwepo kwenye uteuz ujao wa ma DC na RC. Kwahiyo anaongezea misifaHuyu bwanamdogo ni jipu toka kitambo! Maamuzi mengine yafaa kuwa universal; k'ndoni siyo nchi, nawaunga baadh ya wadau hapo juu kwamba tatizo LA mwalimu ni zaid ya hiyo nauli!
Me ni mwalimu pia, nachoona hapo ni siasa kwenye mambo ya msingi! Maamuzu hayo hayajalenga kumsaidia mwlm was nchi hii Bali kumdhalilisha na kumfanya awe inferior. Yawezekanaje mwanafunzi anaelipa 200 akeshe kituoni na mwalm apande bure tukiamini atawahi kazini? Me naona anatutekenya walimu huku anacheka yeye!!!
Nasubir nione matokeo!