Waliitwa "wahujumu uchumi"; Sasa Serikali inakaa nao mezani!

Hapo juu kwenye nyekundu uko sahihi kabisa.....ndio maana Chadema na wapinzani wengine makini wanataka kuiondoa CCM madarakani na kukamata serikali kwani haya ni majukumu ya serikali na wala si chama cha siasa!!

Unanifurahisha sana kwa falsafa yako ya "panya", ya kuuma na kupuliza. Nakukumbusha msemo maarufu wa John F. Kennedy:
"ask not what your country can do for you; ask what you can do for your country".
 
Naona hujaisoma vizuri, rejea post ya mwanzo ya mjadala huu, nadhani para ya tatu kutoka mwisho, jaribu kusoma tena, utakuta.

Hivi Rostam anahusika nini na kupanda bei ya sukari? au nisimtetee kwa kuwa anaitwa "Rostam"?
Mm kamtaja kama mfano kwenye issu ya nishati.ambako hatuitaji fedha za kigeni kujua alichofanya Rostam huko,majoken yake 2nayaona.kwenye sukari umwemwingeze rostam?
 
Hivi wew huchoki fitina kila kukicha? Hujuwi kuwa Tanzania ni soko huru? Na hujuwi kuwa Bei za vyakula zimepanda duniani?

Unaposema soko huru una maana gani? Kumbuka kazi ya EWURA ni nini kwa mawazo yako? Nauri za daladala na mabasi mbona zinadhibitiwa? Sema viongozi na maswahiba wao wanatengeneza mazingira magumu ya maisha ili watengeneze utajiri kwa jasho la wananchi. Shame on you and your Government.
 
Serikali ambayo imeshindwa kumhoji mtu kama Rostam kwa jambo zito kama la nishati sidhani na sina sababu ya kudhani kuwa inaweza kuwatia nguvuni walanguzi wa sukari na wahujumu uchumi.
naomba uniambie, hivi kuhusisha jina la "Rostam" na kupanda bei ya sukari, unaona kuwa ni sawa hivyo?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Huyo ndiye Majimshindo, aliyeamua kumtetea mwandani wake come what may, need I say more ? Haya nitasema. Majimshindo kama kweli una nia ya kutaka kufahamu kwa nini jina Rostam linatajwa kila mara naomba nikunong'onezee lakini usimwambie mtu, " kwetu ni mwiko kuwataja hadharani wake na Rostam kaiweka serikali mfukoni, upo ?"
 
Maisha ya watu huendeshwa na siasa lakini si siasa uchwara za maandamano na kuhusisha mpaka jina la "Rostam" katika kupanda bei ya sukari, au hilo wewe unaliona sawa?

LAZIMA jina la Rost Am Alzizi tulihusishe kwani yeye si ndiyo ANAEONGOZA NCHI HII! Huyo aliepo kwenye kiti ni picha tu, hana uwezo wowote wa maamuzi!

Rost Am Alzizi una umiza wananchiiiii kwa ujanja wako!
 
Majimshindo:nimesoma post ya MM mwanzo hadi mwisho,rostam katajwa kwenye swala la nishati na si sukari kama unavyo ng'ang'ania wewe.
Angalia kwenye red.

Sina wehu wowote wa kufikiria kuwa serikali ina uwezo au ubavu wa kuingilia kati suala hili na kuhakikisha wanaofanya vitu hivi wanakabiliwa na mkono mkali wa sheria. Serikali ambayo imeshindwa kumhoji mtu kama Rostam kwa jambo zito kama la nishati sidhani na sina sababu ya kudhani kuwa inaweza kuwatia nguvuni walanguzi wa sukari na wahujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom