FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,823
- 109,109
Mimi natoa maoni wewe upo kazini!!
Ukimaliza somo la soko huria rejea JF ili tuendelee na mjadala. Kwasasa smahani, ni- wrong person in wrong place at wrong time.
Have a good one Majimshindo.
Naona huna la kusema, hilo somo naomba kalisome wewe ulielewe "I am living it".
Hakuna sababu za kutaharuki kuhusu kupanda bei ama ya Sukari au kingine chochote kile, ni kutumia mbinu za kuweza kuishusha hiyo bei, kama Serikali imeshindwa, Jee, chama cha ushindani tena chenye kuongoza kambi ya upinzani bungeni, pamoja nanyi washauri wake! mna-mpango upi wa kuhakikisha mnatatuwa hili tatizo kwa haraka sana ili kusaidia jamii? Msiniambie mpango ni kuandamana!
Nimewapa ushauri wa bure, "action speaks louder than words", wakati kama huu ndio mngeonyesha uwezo wenu kwa vitendo, agizeni sukari, muisambaze mitaani kupitia mtandao wenu wa ofisi za chadema Tanzania nzima, na si bure, bali kwa gharama. Hapo aaah, mtakuwa vipenzi vya wa Tanzania, badili yakukaa humu JF na kuihusisha bei ya sukari na "Rostam". na kulalamika, serikali hivi serikali vile.
Nikukumbushe tu usemi wa John F. Kennedy "ask not what your country can do for you; ask what you can do for your country", huoni kuwa hii ndio fursa ya kutimiza huo usemi?