Simba mnyama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 348
- 129
Wana-JF,
Nimekuwa nikijiuliza mwenyewe hili wimbi la migomo lilivyoanza hapa nchini pasipokupata majibu. Fikiria walivyogoma madaktari hapa nchini na matokeo ya mgomo huo. Fikiria wanavyogoma walimu muda huu na matokeo ya mgomo huo. Jaribu kufikiria pia kuwa endapo utakuja kutokea mgomo wa askari na wanajeshi wetu wapendwa hapa nchini hali itakuwaje? Kwa maoni yangu sipati jibu, wewe je?
Nawasilisha.
Nimekuwa nikijiuliza mwenyewe hili wimbi la migomo lilivyoanza hapa nchini pasipokupata majibu. Fikiria walivyogoma madaktari hapa nchini na matokeo ya mgomo huo. Fikiria wanavyogoma walimu muda huu na matokeo ya mgomo huo. Jaribu kufikiria pia kuwa endapo utakuja kutokea mgomo wa askari na wanajeshi wetu wapendwa hapa nchini hali itakuwaje? Kwa maoni yangu sipati jibu, wewe je?
Nawasilisha.