MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,829
- 2,986
Wa Tanzania tupo milion 55
Kwanini serikali isitenge milion 55 itugawie kila mtu milion 1?
Kila mtu anapewa milioni 1 au shilingi 1...?
Wa Tanzania tupo milion 55
Kwanini serikali isitenge milion 55 itugawie kila mtu milion 1?
Mtageukana mwaka huu. Nyimbo za Stigler na SGR zimefeli.Kati ya Jambo linaloigharimu CCm kila siku Ni kuwekeza kwa Mwenyekiti na dola kuliko kuwekeza kwa wananchi.
Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.
Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila tulipokosea nikuthamini vitu tukasau utu. Hakuna daraja wala ndege wa jengo lolote linaweza kuthaminishwa na utu..nafsi ya mtu ni ghali kuliko kitu chochote.
Mnaendelea kuwekeza kwenye vitu bila uungwaji mkono wa watu Jambo linalovikosesha vitu hivyo thamani.
JK alijenga mwendo kasi akaweka na mfumo mzuri wa kuhudumia watu, awamo ya tano imeachana kabisa na miundombinu hiyo nakujikita kwen
Wa Tanzania tupo milion 55
Kwanini serikali isitenge milion 55 itugawie kila mtu milion 1?
We Bite wewe, mbona unataka nitamani kuingia ktk ndoa za mitaala kwa kuguswa na wanamama jasiri na wa kipekee wenye uelewa wa ziada wa mambo muhimu yanayohusu kesho ya mama Tanzania. Kongole nyingi sana kwako.Kati ya Jambo linaloigharimu CCm kila siku Ni kuwekeza kwa Mwenyekiti na dola kuliko kuwekeza kwa wananchi.
Wananchi kwa namna Hali ilivyo wanatambua hata ungekuwa na utajiri mkubwa kiasi gani lakini watu wakakosa Uhuru ipo siku utajiri huo utapotea.
Tunajenga vitu na ni Jambo jema ila tulipokosea nikuthamini vitu tukasau utu. Hakuna daraja wala ndege wa jengo lolote linaweza kuthaminishwa na utu..nafsi ya mtu ni ghali kuliko kitu chochote.
Mnaendelea kuwekeza kwenye vitu bila uungwaji mkono wa watu Jambo linalovikosesha vitu hivyo thamani.
JK alijenga mwendo kasi akaweka na mfumo mzuri wa kuhudumia watu, awamo ya tano imeachana kabisa na miundombinu hiyo nakujikita kwen
we huoni watu wanavyotekwa na kupotezwa na wengine kushindiliwa risasi 16? Huoni umasikini unavyoshamiri at the expense of dream liners?Vituko haviishi hebu tuambie Uhuru gani huo Tanzania ambao hatuna