Walichofanya polisi arusha ni sahihi

kama unataka mjadala ungeweka alama ya kuuliza kwenye kichwa cha habari.
 
Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.

Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.

Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania

Ilikuwa sahihi ili kuhakikisha amri ya mamlaka ni ya mwisho. si vema kuleta vurugu ambazo bado zinaepukika kwa kufanya ukaidi kisa demokrasia, hata kama ingekuwa serikali ya mbowe na slaaa wangefanya hivyo kwa mazingira hayo, ingawa kuna wabishi ambao kubisha ni jadi
 
Ilikuwa sahihi ili kuhakikisha amri ya mamlaka ni ya mwisho. si vema kuleta vurugu ambazo bado zinaepukika kwa kufanya ukaidi kisa demokrasia, hata kama ingekuwa serikali ya mbowe na slaaa wangefanya hivyo kwa mazingira hayo, ingawa kuna wabishi ambao kubisha ni jadi

kula tano mkuu
 
Walichofanya polisi arusha ni sahihi

Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.
quote_icon.png
Originally Posted by boma2000
Ilikuwa sahihi ili kuhakikisha amri ya mamlaka ni ya mwisho. si vema kuleta vurugu ambazo bado zinaepukika kwa kufanya ukaidi kisa demokrasia, hata kama ingekuwa serikali ya mbowe na slaaa wangefanya hivyo kwa mazingira hayo, ingawa kuna wabishi ambao kubisha ni jadi
kula tano mkuu
Hongereni...mmeongeza idadi ya posts!
 
Wakuu,
Huyu si padre, subirini nitawaambia hivi karibuni huyu ni nani.

Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.

Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.

Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania
 
Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.

Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.

Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania

Na mimi naunga mkono hata mimi nilipoangalia hilo tukio polisi walikuwa hawana jinsi sema sometimes ushabiki watusumbua
 
Ni kweli unachokisema? Au wewe ndio unasumbuliwa na ushabiki wa kichama? Je unaijua A town vizuri? Mahali watu walipouliwa na polisi na kituo cha polisi mahali kilipo kama ambavyo unataka watu waamini maneno yako ni sawa? Na je Dr. Alipotoa maneno au kauli yake kulikuwa na mazingira gani? Mbona mnaanza tena kujipendekeza kwa polisi ambapo kiomgozi wenu amesema msitegemee tena polisi?
 
Back
Top Bottom