Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.
Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.
Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania
Ilikuwa sahihi ili kuhakikisha amri ya mamlaka ni ya mwisho. si vema kuleta vurugu ambazo bado zinaepukika kwa kufanya ukaidi kisa demokrasia, hata kama ingekuwa serikali ya mbowe na slaaa wangefanya hivyo kwa mazingira hayo, ingawa kuna wabishi ambao kubisha ni jadi
Walichofanya polisi arusha ni sahihi
Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.
Hongereni...mmeongeza idadi ya posts!Originally Posted by boma2000
Ilikuwa sahihi ili kuhakikisha amri ya mamlaka ni ya mwisho. si vema kuleta vurugu ambazo bado zinaepukika kwa kufanya ukaidi kisa demokrasia, hata kama ingekuwa serikali ya mbowe na slaaa wangefanya hivyo kwa mazingira hayo, ingawa kuna wabishi ambao kubisha ni jadi
kula tano mkuu
Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.
Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.
Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania
Nimekuwa nikifuatilia maoni mbali mbali kuhusu fujo zilizotokea Arusha, wachangiaji wengi wamekuwa wakilaumu polisi tena bila kuficha ushabiki wao kwa CDM. Binafsi mimi si shabiki wa chama chochote kile, na hivyo kwa mtazamo wangu baada ya kuangalia TBC muda mfupi uliopita nimeona kuwa polisi walifanya sawa na kama mauaji yalikuwa si ya kukusudia.
Hivi katika hali kama ile ya padre mwenzagu slaa kuamuru kuwatoa mahabusu kwa nguvu ilikuwa ni sahihi?. nimekuwa nikuvutiwa sana na siasa za CDM lakini sasa huku wanakoelekea wananipa simanzi.
Najua wengi watasema " Angeuawa ndugu yako n.k" lakini hii ni forum ya GREAT THINKERS tuache ushabiki wa siasa tujadili ukweli na haki ili kuweza kuiimarisha CDM ambayo imeanza kujenga imani kwa Wa Tanzania