Tatizo la zimu za Xiaom
1. Nyingi zao hazina FM radio
2. Zinatumia Nano sim Card.... ambapo ni usumbufu kwa kupunguza lain ya simu, maana muda mwingine inaweza kuitaji kubadili simu hapo ndio kimbembe, maana Nano simu Card ni Ndogo zaidi sana.
3. Hazina Google play store.
4. Binafsi sijazipenda design yake upande wa nyuma.
Naona techno ipo vizuri kuliko hizi vitu.
Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
Bado unaskilzaga radio tu mzee kwann usinunue karadio kadogo kadogo kwa machinga uwe unatembea nako
😂😂Bado unaskilzaga radio tu mzee kwann usinunue karadio kadogo kadogo kwa machinga uwe unatembea nako
Sent using Jamii Forums mobile app
Xiaomi latest yenye battery kubwa ni Mi Max 3 5800mAh, ipo around $230-$250Kuna anaetumia Ulefone 13000mah?
Au xiaomi ya kuanzia 5000mah inaanzia bei gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngozi nyeusi mnajifanya mnaenda na fashion sana.. kwan kusema simu haona built in radio app ni kosa???Bado unaskilzaga radio tu mzee kwann usinunue karadio kadogo kadogo kwa machinga uwe unatembea nako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora ungeanza kuuliza watumiaji wa Xiaomi hapa jukwaani, tungetumia lugha raisi kukuelewesha mkuu Jitu jeusiAsante mkuu, nimezifuatilia aliexpress , nimespendi muda mwingi kusoma description.
Naomba unisahihishe kwa fact/ ushaidi, please usitoe kejeri
Mkuu note 6pro au?kama ndiyo vipi ukaaji wa chaji Kwa matumizi ya wastani?Dhambi kubwa xiaomi uiweke kundi moja na Tecno
Hahaha sasa yangu mbona inayo na ni note 6 iko hivi hizo ni chinese version ila global zina playstore boss na hata hizo chinese unaweza weka playstore nimetoka muda si mrefu kuuliza hapo juu nikaelekezwa na nimefanikiwa kuweka playstore kwenye chinese version na mzigo upo kama kawaida.
Halafu hizo attachment ulizoweka mbona si description za Redmi Note 6 Pro? Au umechanganya na Redmi 6? Mm ninayo Redmi 6a lakin ina FM Radio, na ina Google Play Services.
Ngozi nyeusi mnajifanya mnaenda na fashion sana.. kwan kusema simu haona built in radio app ni kosa???
Unajifanya husikii redio, basi wewe ni mjinga (neno mjinga sio tusi)
Sawa bro, ngoja nifanye mpango sasahiv ni nunue from aliexpress mida hii.Mkuu Jitu jeusi kaa ukijua Xiaomi zote zina FM Radio isipokuwa zile Chinese Version ile App ya FM Radio inakuwa haijawa installed kwenye hiyo Chinese ROM. Endelea kufanya utafiti utaelewa
Wiki tatuSawa bro, ngoja nifanye mpango sasahiv ni nunue from aliexpress mida hii.
Nataka kuchukua redmi note 6A, nikiagiza now ntapata baada ya muda gani?
AsanteWiki tatu
Ngozi nyeusi mnajifanya mnaenda na fashion sana.. kwan kusema simu haona built in radio app ni kosa???
Unajifanya husikii redio, basi wewe ni mjinga (neno mjinga sio tusi)
hata chinese ipo unakuja kwenye tools kuna kuwa na app nyingi usipokuwa makini unaweza usiione. angalia yangu chineseMkuu Jitu jeusi kaa ukijua Xiaomi zote zina FM Radio isipokuwa zile Chinese Version ile App ya FM Radio inakuwa haijawa installed kwenye hiyo Chinese ROM. Endelea kufanya utafiti utaelewa
Okay, ahsante kwa taarifa mkuuhata chinese ipo unakuja kwenye tools kuna kuwa na app nyingi usipokuwa makini unaweza usiione. angalia yangu chineseView attachment 1047976
iv xiaom nzur ip kat ya chinese version au global version na kama ya chinese vip kwenye ishu ya mitandao inasoma line za bongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inatumia Android One. Si kama matoleo mengine ya Xiaomi zenye Mi User Interface (MIUI) so kuna baadhi ya features za hii customized stock rom (MIUI) utazikosa, eg: Second space, Dual apps, etc.na nlikuwa nataka nichukue xiaomi mi a2 lite naombeni mapungufu ya i sim.
Sent using Jamii Forums mobile app