Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,629
Ndio mkuu yello masai ww unatumia ipi? Ya Marekani au Korea?Naona mnatiririka tu watumiaji wa simu za kichina.
Ndio mkuu yello masai ww unatumia ipi? Ya Marekani au Korea?Naona mnatiririka tu watumiaji wa simu za kichina.
Utakuwa unaweka moto usiku tu yaani haitoisha moto kiufupi utaweka moto ili ifike tu 100% boss it means utakuwa unacharge mida ya saa 8 usiku au saa 10 huku ikiwa ina charge si chini ya 30% inategemea ratiba zako unaamka na mizunguko yako inaanza mda ganiHahahhahahahMkuu note 6pro au?kama ndiyo vipi ukaaji wa chaji Kwa matumizi ya wastani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah usikute anatumia iphone 4s ,😂😂😂Ndio mkuu yello masai ww unatumia ipi? Ya Marekani au Korea?
Kitu kizuri sana hicho.Utakuwa unaweka moto usiku tu yaani haitoisha moto kiufupi utaweka moto ili ifike tu 100% boss it means utakuwa unacharge mida ya saa 8 usiku au saa 10 huku ikiwa ina charge si chini ya 30% inategemea ratiba zako unaamka na mizunguko yako inaanza mda gani
Mkuu kwa samsung yangu s5 ambayo haina utanisaidia vp asee maana naona galaxy store only .huwa kikawaida inakuwepo store inayokuja na hizo xiaomi za china, ukiingia store andika tu google unaipata.
alternative unaidownload hapa
Google Installer_2.0.apk
hakikisha una mb za kutosha kama 500 hivi then run hio app kwenye xiaomi yako itaeka app zote muhimu za google.
Ndio mkuu yello masai ww unatumia ipi? Ya Marekani au Korea?
Hizo nakushauri tafuta hapa hapa TZ zipo nyingi tu! Tembelea kwa mafundi simu.Ya Korea Mr. Mobile
Nitafutie betri moja wapo kati ya hizi mkuu View attachment 1048873View attachment 1048874
Angalia post #1943Mkuu kwa samsung yangu s5 ambayo haina utanisaidia vp asee maana naona galaxy store only .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu hivi Inaweza ikatokea ukalipia simu ya xiaomi kwenye Store ya FANTANCY TECHNOLOGY lakini hadi siku 10 zinapita seller hajafanya shipping, kama jibu ndioHizo nakushauri tafuta hapa hapa TZ zipo nyingi tu! Tembelea kwa mafundi simu.
ndio ikiwa out of stock baadae anatuma ikifika anakutumia order yako wasiliana nae anajibu anakuelekeza freshNdugu hivi Inaweza ikatokea ukalipia simu ya xiaomi kwenye Store ya FANTANCY TECHNOLOGY lakini hadi siku 10 zinapita seller hajafanya shipping, kama jibu ndio
je ni kwanini hutokea hivyo, suruhisho ni nini?
Asante View attachment 1049602
Sent using Jamii Forums mobile app
Atatuma tu...mm alika siku 12 ndio akatuma... Alikua ajapokea mzigo toka kiwandani... Kuwa mpole atatuma tuNdugu hivi Inaweza ikatokea ukalipia simu ya xiaomi kwenye Store ya FANTANCY TECHNOLOGY lakini hadi siku 10 zinapita seller hajafanya shipping, kama jibu ndio
je ni kwanini hutokea hivyo, suruhisho ni nini?
Asante View attachment 1049602
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi niendelee kuwa mpole sijawahi kuagiza ndugu basi kesho huwa naiona kana mwakaAtatuma tu...mm alika siku 12 ndio akatuma... Alikua ajapokea mzigo toka kiwandani... Kuwa mpole atatuma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief nimekuelewa vizuri sasa inabidi nitulie na huu mtecno wangu hadi hapo xiaomi itakapopata ukombozi toka Chinandio ikiwa out of stock baadae anatuma ikifika anakutumia order yako wasiliana nae anajibu anakuelekeza fresh
😂😂😂😂😂😂😂Basi niendelee kuwa mpole sijawahi kuagiza ndugu basi kesho huwa naiona kana mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
yes kua mpole wasiliana nae FANTASY hana noma tena anakujibu na kukuelewesha freshChief nimekuelewa vizuri sasa inabidi nitulie na huu mtecno wangu hadi hapo xiaomi itakapopata ukombozi toka China
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua mpole atatuma na itafika tu... Mm yangu imefika juzi, hapa bado nipo natoa ushambaBasi niendelee kuwa mpole sijawahi kuagiza ndugu basi kesho huwa naiona kana mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee mi nahisi yangu soon itaingia TZ GLOBAL VERSION ya NoTE 7 PRO.Kua mpole atatuma na itafika tu... Mm yangu imefika juzi, hapa bado nipo natoa ushambaView attachment 1050167
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu imeichukua kwa bei gani hii ?Kua mpole atatuma na itafika tu... Mm yangu imefika juzi, hapa bado nipo natoa ushambaView attachment 1050167
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu hii simu ina bei gani ? Je nikiwa na 350K naweza agiza mpya nikapata ?Halafu hizo attachment ulizoweka mbona si description za Redmi Note 6 Pro? Au umechanganya na Redmi 6? Mm ninayo Redmi 6a lakin ina FM Radio, na ina Google Play Services.
View attachment 1047884