Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 2,901
- 3,248
shukrani.Angalia Ebay
shukrani.Angalia Ebay
Mbona Seller tele wanaziuza hapo hapo Aliexpress!!Wakuu naombeni link ya mtandao unaouza xiaomi redmi note 5 pro aliexpress nakosa, Aksanteni.
Zinatambulika kama note 5 na sio note 5 pro ila tu utaona utofauti pale ni ina processor ya 636 pia picha ya simu kwa nyuma ina dual camera na zimekaa vertically wakati note 5 plus haina dual camera nyuma japo maumbo yanafanana ya simu ila zingatia hayo.Wakuu naombeni link ya mtandao unaouza xiaomi redmi note 5 pro aliexpress nakosa, Aksanteni.
Aksante sana mkuu Nilikua sielewi hii kitu LAKINI Mwl.RCT kanielekeza na tayari nishakamilisha taratibu.Zinatambulika kama note 5 na sio note 5 pro ila tu utaona utofauti pale ni ina processor ya 636 pia picha ya simu kwa nyuma ina dual camera na zimekaa vertically wakati note 5 plus haina dual camera nyuma japo maumbo yanafanana ya simu ila zingatia hayo.
Manunuzi yamefanyika.Aksante sana mkuu Nilikua sielewi hii kitu LAKINI Mwl.RCT kanielekeza na tayari nishakamilisha taratibu.
Amen.View attachment 819994
Manunuzi yamefanyika.
Tracking number utapewa ndani ya siku tatu.
Kwa wengine wanao hitaji kuagiza simu za XIAOMI, soma maelekezo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Au wasiliana nami kwa whatsapp number inayopatikana posti ya kwanza kwenye hiyo link hapo juu.
Karibu
View attachment 819994
Manunuzi yamefanyika.
Tracking number utapewa ndani ya siku tatu.
Kwa wengine wanao hitaji kuagiza simu za XIAOMI, soma maelekezo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Au wasiliana nami kwa whatsapp number inayopatikana posti ya kwanza kwenye hiyo link hapo juu.
Karibu
Ndugu Public EnemyAksante sana mkuu Nilikua sielewi hii kitu LAKINI Mwl.RCT kanielekeza na tayari nishakamilisha taratibu.
Shukrani.
Aksante sana.... Mzigo nimeupata kama nilivyoagiza. Shukrani.View attachment 819994
Manunuzi yamefanyika.
Tracking number utapewa ndani ya siku tatu.
Kwa wengine wanao hitaji kuagiza simu za XIAOMI, soma maelekezo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Au wasiliana nami kwa whatsapp number inayopatikana posti ya kwanza kwenye hiyo link hapo juu.
Karibu
Wakuu naombeni link ya mtandao unaouza xiaomi redmi note 5 pro aliexpress nakosa, Aksanteni.
Aksante mkuu nilishapata msaada na sasa mzigo niko nao mkononi.
Aksante mkuu nilishapata msaada na sasa mzigo niko nao mkononi.
Nilimuagizia mwl Rct mkuu.Ulitumia njia gani ya usafiri
kukufikia mzigo.
Nilimuagizia mwl Rct mkuu.
Mimi natumia redmi 4x tangu mwaka 2017 - 6 iko poa mpaka sasa hakuna tatizo ila betri niliua mwenyewe kwa power bankNimemchukulia Redmi 5 bi mdogo ameitumia fresh miezi miwili sasa bila ya shida,Tena alikuwa anafurahia mno.
Juzi alienda nayo kwenye sherehe akachukua video record hiyo sauti inayotoka unapoiplay video baada ya kuirekodi ni mikwaruzo mitupu.
Je wote wenye hizi redmi 5 series tuna tatizo Hilo au kwake tu?
Kama Kuna njia yoyote ya kufix naombeni msaada maana Sina amani hapa
Inategemea na unataka ya ukubwa gani mkuu... Mostly kuanzia 450k+Bei gani
Mkuu simu zinazotoa sauti clear kwenye harusi zinahesabika na usitegemee simu ya bei rahisi kufanya kitu hicho. Kama ni kitu muhimu sana kwake atafute lavalier microphoneNimemchukulia Redmi 5 bi mdogo ameitumia fresh miezi miwili sasa bila ya shida,Tena alikuwa anafurahia mno.
Juzi alienda nayo kwenye sherehe akachukua video record hiyo sauti inayotoka unapoiplay video baada ya kuirekodi ni mikwaruzo mitupu.
Je wote wenye hizi redmi 5 series tuna tatizo Hilo au kwake tu?
Kama Kuna njia yoyote ya kufix naombeni msaada maana Sina amani hapa