kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
Mzgo utaupata posta iliyo karibu naweMnaotumiwa mizigo ya electronics huwa mbatumiwa kwa basi au kupitia posta???
Mzgo utaupata posta iliyo karibu naweMnaotumiwa mizigo ya electronics huwa mbatumiwa kwa basi au kupitia posta???
redmi 4x protector unayo?Mwenye kuhitaji TPU case na glass protector za Xiaomi redmi note 4x... Tuwasiliane kwa WhatsApp 0759110633View attachment 721433
Hiyo sina, labda kwa order maalum.redmi 4x protector unayo?
mimi yangu haina ni chinese versionWakubwa habari zenu. Vipi hizi device zetu zipo certified na google!?.
Weka mfanombona aliexpress wana bei mbili vipi hizo zinakuw kwenye mnada??
Bei ndio 280Yeah! Aliexpress.
sijakuelewaKwa wanaotaka bidhaa AliExpress Kuna discount kubwa sikuizi mbili Hadi tarehe 31 march.
Sure nmeona hata Mi A1 imeshukaKwa wanaotaka bidhaa AliExpress Kuna discount kubwa sikuizi mbili Hadi tarehe 31 march.
Anniversary Sale hiyoSure nmeona hata Mi A1 imeshuka
Ni nzuriView attachment 729788
Redmi 5 plus, ndio inatamba kwa sasa.
Ngoja nijichekie cha kubebaAnniversary Sale hiyoView attachment 729775
Kwa wanaotaka bidhaa AliExpress Kuna discount kubwa sikuizi mbili Hadi tarehe 31 march.
Anniversary Sale hiyoView attachment 729775
Hivi hii anniversary sale inakuaga lini Hadi lini au inatokea tu?!View attachment 729975
Global Version Xiaomi Redmi 5 2GB 16GB Snapdragon 450 Octa Core CPU Mobile Phone 5.7" 18:9 Full Screen Display Fingerprint ID
Nimeagiza hii kwenye hiyo anniversary sale kwa 270k pamoja na shipping.
Ni miaka yote na mwaka huu ilikuwa 28-31 March.... Ipo miaka yoteHivi hii anniversary sale inakuaga lini Hadi lini au inatokea tu?!
Je ni kwa miaka yote au?!
Napataje huo mzigo uliyoagiza nisaidie namna ya kuuagizaNi miaka yote na mwaka huu ilikuwa 28-31 March.... Ipo miaka yote
400k-450kMsauzy redmi note 4 ya 64 GB ntaipata kwa sh ngap