SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 1,878
- 1,692
Hawa M-PESA MasterCard ambao ndiyo njia rahisi kufanyia manunuzi miongoni mwetu, naona wameanza kuzingua au wanafanya makusudi ili watuibie kiaina!!
Imenitokea zaidi ya Mara mbili kuhamisha pesa kutoka card kwenda M-PESA ila cha ajabu hela inakatwa kwenye card lakini haiingii kwenye M-PESA.
Imenitokea zaidi ya Mara mbili kuhamisha pesa kutoka card kwenda M-PESA ila cha ajabu hela inakatwa kwenye card lakini haiingii kwenye M-PESA.