Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wadau nisaidie jinsi ya kuagiza nataka nichukue note 10 pro nikienda laibaba mambo hayaeleweki
Kama inakupa wakati mgumu kuagiza nipe kazi, mzigo unafika ndani ya wiki mbili tu!
mmexport1576009153754.jpeg
20191212_195842.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom