SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,967
- 2,631
Weka probability ya wiki 1 mkuu.Wakuu mzigo wangu umefika dar j5 je huku mkoani huwa unachukua muda gani kufika?
Weka probability ya wiki 1 mkuu.Wakuu mzigo wangu umefika dar j5 je huku mkoani huwa unachukua muda gani kufika?
Nipo Mara mkuu,wilaya ya Serengeti.
He hakuna njia ya kutrack mzigo ukishakuwa tz?
Last week nimeenda pale posta sijalipa kitu, nimechukua parcel Yangu free,, sijajua wanatumia vigezo gani.. Ila seller aliniandikia thaman ya Mzigo Dollar 5 nadhani ndo sababu,, wakati Mzigo ulikua Na thaman ya dollar 25.
Una bahati mie kaniambia mhudumu wameelekweza kila mzigo hata uwe 0.1 usd wanatoza 2350.
Na wanatoa electronic receipt kabisa. Ina hainisha malipo kuwa ni ya small packet fee.
Kwahiyo umeshafungua dispute kurudishiwa pesa?
Nilisha fungua before kutokana kupata mashaka kuwa mzigo utakuwa umepotea. Nilicheki na jamaa wa posta kuna fomu kanitumia just kapiga picha. Kuna Kama track number zingine mbili. Wameituma Singapore post.
Mkuu Equity hela inapungua zaidi kuliko hata mpesa mastercard.Ila Mimi nataka seller anitumie tena simu. Maana masuala ya kurefund hela, hela zinapungua Sana. Bora Equity Bank wanaweza kukupa hela yako yote. Ila Mpesa MasterCard card lazima upate pungufu.
Umejiridhisha vipi kuwa mzigo umepotea mkuu...Confirmed.
Mzigo Wangu moja ume miss. Japo juzi nilipata update kuwa upo Tanzania. Na nikapata update kuwa.. accepted by last mile carrier. View attachment 1263737
Umejiridhisha vipi kuwa mzigo umepotea mkuu...
Dah jamaa anatisha sana alafu hayupo open nini kimetokea, yan mzigo waseme kabeba last mile carrier then umepotea? Sasa huyo last mile carrier alikabidhiwa nini kutoka kwa dar es salaam inward office of exchange. Anyway tusubiri aje ajibu swali lako.
Maana nami ule mzigo wangu uliokaa sana jana umetua na upo kwa last mile carrier
Duuuuh...Maana mizigo ilikuwa 2. Ajabu mmoja ndio umefika lakini mwingine sijaupata. Ndio ikabidi nipige simu tena posta. Walichonijibu nilichoka. Istoshe jamaa kanitumia mpaka fomu inaonesha mzigo ume miss. Maana mzigo Wangu kutokana na shipment niliyotumia ilibidi uwe umefika kitambo.View attachment 1263873
Weka probability ya wiki 1 mkuu.
Kwa huko inachukua siku kadhaa sababu ya umbali. Unaweza uka track kupitia hii website Global Track And Trace
Dah jamaa anatisha sana alafu hayupo open nini kimetokea, yan mzigo waseme kabeba last mile carrier then umepotea? Sasa huyo last mile carrier alikabidhiwa nini kutoka kwa dar es salaam inward office of exchange. Anyway tusubiri aje ajibu swali lako.
Maana nami ule mzigo wangu uliokaa sana jana umetua na upo kwa last mile carrier
Samahani mkuu huyu last mile carrier ndo nani?
Labda ndio umepokelewa na posta ya Tanzania ili uweze kutumwa sehemu husika.Posta
Poa za kwako
Features za MIUI 11
Inafanyaje?Mimi nimeikubali hiyo ya betri sever tu.
Ingawa kuna baadhi ya kampuni za simu tayari walikuwa nayo hiyo feature.