SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,967
- 2,631
Unazungumzua power saving mode. Mimi si zungumzii hiyo. Angalia moja ya features zilizoongezwa kwenye MIUI 11 ni betri saver mkuu angalia hiyo video utaelewa ninacho zungumzia. Labda miui 10 unayotumia wewe na ninayo tumia mimi zinatofauti.Hii feature mbona ipo kitambo tu.. Mi natumia daily na Sina hata hiyo miui 11 bado.
NB: Acha ile feature inayofanya betri kuwa rangi ya orange. Hii ni nyingine.